Video: Radi zimepiga Gaza utadhani kiama, sijui wana laana gani hawa

Video: Radi zimepiga Gaza utadhani kiama, sijui wana laana gani hawa

Sababu ya kuwa tayari kufa kwa waisrael nini mkuu?. Jamaa wabaguzi hao kuliko mwanadamu yeyote duniani.
sijanyi kwa ajiri yao,nafanya kwaajiri ya Mungu.
Mfumo wa classes upo pote kwanzia Mbinguni,kuzimu na duniani, mifumo yote inayoendesha dunia na kuzimu ni copyright ya Mbinguni.
Pili jina la israel unajua maana yake alipewa yakobo akimaanisha Mtu aliyeshindana na Mungu.
Na pili Mungu amesema lazima uwe na amani na israel ili uwe na amani naye ,kuhusu matendo yao haikuhusu.Hapo Marekani kafahuru Mtiani huu.
Kitu tusichojua hata dunia nzima tukipigana na israel hatutomuweza na Mungu atakuwa upande wao,alishahaidi hivyo, na havihusiani na matendo yao.
Na hizo ndo sababu
 
Laana za hapo Kenya na Tanzania hatuzioni tupo tunaziona laana za Palestine. Sijawahi kuona Mpalestina wala Muisraeli akiwaonea huruma Wakenya au Watanzania kwenye matatizo yetu acha kuwa brainwashed.

Hizi sound mngezileta siku ile HAMAS wanashambulia kule, ila mlichekelea, leo mumegeuziwa kibao mnaanza kupapatika kote, mara laana za Kenya na Tanzania....hehehe yaani humu humu tutawapulia mpaka basi.
 
Mawazo yako mkuu ,ila Tambua Mungu aliziumb mbingu yupo tayari kuangamiza dunia nzima kama wataenda kinyume na israel na hilo lipo wazi,haijalishi muisraeli ana haki au la, ma hilo kaagiza kwenye biblia.
Even mm nipo tayari kufa kuitetea israeli,
Achana na hadithi za kitaahira zisizo na kichwa wala miguu.

Huyo mungu alishindwa kumuangamiza shetani aje kuiangamiza dunia, kwa uwezo upi alionao?

Achana na hizo ngonjera Mungu hayupo na hajawahi kuwepo.
 
Achana na hadithi za kitaahira zisizo na kichwa wala miguu.

Huyo mungu alishindwa kumuangamiza shetani aje kuiangamiza dunia, kwa uwezo upi alionao?

Achana na hizo ngonjera Mungu hayupo na hajawahi kuwepo.
Miaka 50 kutoka leo i wish tukutane nje ya mwili nikuulize tena kama unaamini Mungu hayupo???
I hope tutakutana
 
Hizi sound mngezileta siku ile HAMAS wanashambulia kule, ila mlichekelea, leo mumegeuziwa kibao mnaanza kupapatika kote, mara laana za Kenya na Tanzania....hehehe yaani humu humu tutawapulia mpaka basi.
Sina muda wa ku support Hamas, palestine wala Israel siyo jukumu langu kama mtu mweusi.
 
Wewe hata sijakuelewa kabisa unamaanisha nini.

Msalimie Nyerere.
Hujaelewa Nini sasa?radio hizo zinazopiga huzioni huko Kwa nduguzo?
Halafu acha ukorofi unavyoniambia nimsalimie Nyerere Ina maana Mimi Niko peponi?
 
sijanyi kwa ajiri yao,nafanya kwaajiri ya Mungu.
Mfumo wa classes upo pote kwanzia Mbinguni,kuzimu na duniani, mifumo yote inayoendesha dunia na kuzimu ni copyright ya Mbinguni.
Pili jina la israel unajua maana yake alipewa yakobo akimaanisha Mtu aliyeshindana na Mungu.
Na pili Mungu amesema lazima uwe na amani na israel ili uwe na amani naye ,kuhusu matendo yao haikuhusu.Hapo Marekani kafahuru Mtiani huu.
Kitu tusichojua hata dunia nzima tukipigana na israel hatutomuweza na Mungu atakuwa upande wao,alishahaidi hivyo, na havihusiani na matendo yao.
Na hizo ndo sababu
Cha ajabu Israel inategemea msaada wa kijeshi kutoka Marekani. Kwa nini Mungu wao hawasaidii?
 
Back
Top Bottom