Pre GE2025 Video: Rais Samia apewa zawadi ya ng'ombe na madereva bodaboda

Pre GE2025 Video: Rais Samia apewa zawadi ya ng'ombe na madereva bodaboda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bodaboda mkoani Mwanza wamemzawadia Rais Samia Suluhu ng’ombe ikiwa ni shukurani zao kwa juhudi kubwa anazofanya.


📹 SwahiliTimes
Kwa kufikiria kwa jicho la tatu: siyo kwamba bodaboda wanatoa rushwa ili wasisumbuliwe na polisi?

Huko nchi nyingine ,rais haruhusiwi kupaokea vijizawadi vinavyo weza ku compromise utendaji wake.
 
Bodaboda mkoani Mwanza wamemzawadia Rais Samia Suluhu ng’ombe ikiwa ni shukurani zao kwa juhudi kubwa anazofanya.


📹 SwahiliTimes
Tatizo hii nchi tuna rais asiye onekana. Yaani kwenye barabara hayupo, kwenye umeme hayupo, kwenye reli hayupo, kwenye maji hayupo, kwenye sukari hayupo. Yaani haonekani popote
 
Kwa kufikiria kwa jicho la tatu: siyo kwamba bodaboda wanatoa rushwa ili wasisumbuliwe na polisi?

Huko nchi nyingine ,rais haruhusiwi kupaokea vijizawadi vinavyo weza ku compromise utendaji wake.
Hivi wewe mkuu maisha ya bodaboda yalivyo unafikiri wanaweza kuchanga pesa ya kununua ngo’mbe

Hizo drama watoto tu ndio wataziamini
 
Samiah mama unahangaikia nini ndugu yangu!!

Kwanini kujitia presha bure!!?

Achana na urais kwani usipogombea utapungukiwa Nini!!?

Sawa
 
Kwa kufikiria kwa jicho la tatu: siyo kwamba bodaboda wanatoa rushwa ili wasisumbuliwe na polisi?

Huko nchi nyingine ,rais haruhusiwi kupaokea vijizawadi vinavyo weza ku compromise utendaji wake.
Rejea kilichotokea South Korea baada ya mke wa rais kupewa kibegi cha Dior kama zawadi na Mchungaji .. kunatokota hadi sasa
 
Sometimes kupiga kura ni kuchoma nauli na calories..
Huyu Mama haoni uchumi unavyo yumba kwa tatizo la umeme.
Ati kwenda kugawa vizimba na net za uvuvi.
Hivi Ccm wako serious na ucbumi kwelk?
Ange kuwa rais mwingine tunge muona akiwa mkali kuhusu umeme, mafuta, na gharama za maisha zilivyo panda.
Lakini mama kaamua kuzurura na kutafuta popularity.
 
bodaboda wamejibu kwa vitendo wallah

chadema wanabaki kutoa macho kama buzi wa albadir
 
He is not deceived who knows himself to be deceived.

Juhudi zipi hizo anazofanya labda na mimi nitampa zawadi hata ya mayai ya Kuku....

Hizi Drama zinazochezwa na Vyama za Siasa kwa kutumia njaa na Ulafi wa baadhi ya watu Mwananchi ataendelea kusoma namba till Kingdom Come)
 
Waongezewe fine sasa, kupunguziwa fine kumewatia kiburi hadi kuanza kumuonga Raisi
 
Back
Top Bottom