Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
chadema wao mabishano ndio tafsiri ya demokrasiaNa ile kauli ya Lema kwamba bodaboda wamelaani lazima tu kwenye sanduku la kura cdm walie.
wakiruhusiwa kubishana kama wehu ndio wananyanyuka na kusema sasa demokrasia inakua ..unabaki kujiuliza hawa ni watu wa namna gani badala ya kufanya wao wanataka mabishano uzuri watanzania wamewagundua ni wakupuuza tuh