Pitia post zangu zote kama Kuna mahali naunga mkono kiongozi yoyote kukaa madarakani kwenye nafasi Moja ya kuchaguliwa zaidi ya miaka 10. Na hili ni ikiwemo na huyo Mbowe, na msimamo wangu huu uko wazi Kila mahali, na hata hapa jf. Mfumo wa vyama vingi wenyewe acha hiyo cdm hauna miaka 40, Sasa huo utoto wako unautoa wapi?Mapenzi hupofusha,
Huwezi ukaona hata uambiwe nini
Hapo unaona jamaa kakaa madarakani miaka miwili tu.
TUMEPIGWA NA KITU KIZITO SANA.Viongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.
Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Kama ni mkristo mkatoliki nenda kafanye kitubio kanisani kabla hujakomunika Jumapili ya wiki inayoanza leo.Waafrika ni mbwa kabisa!. Maiti kama hii ( Kiir) inaruhisiwaje kuwa rais?
Hadi nimejisikia aibu aise 😳Viongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.
Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Hicho cheo ameomba au wamempa ili kumchora mwenzao? Basi wangempa hiyo nafasi huyo anayemsaidia hapo pembeniViongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.
Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
South Sudani bado ni Nchi changa imetoka kwenye Vita siku sio nyingi na inaathiriwa na ukabila kati Makabila makuu mawili Dinka Bor na Nuer anakotoka Riek Machar.Ndio maana Trump alisema Afrika inatakiwa inatakiwa itawaliwe tena 😀
Hamjamaliza ugonvi wenu wa ndoa na mbowe?Mfano mwenyekiti wa Chadema huu ni mwaka wa 40 madarakani ila chawa wake wanampambania tu abakie madarakani.
Mkuu mimi ningependa kuwe na EAC Cultural day ili tena ningependa iwe inafanyikia Arusha tuone Tamaduni za Nchi hizi.😄🤣🤣🤣🤣😂
Hakukosa neno. Ndicho kiwango chake.Kwamba umekosa neno mbadala au??
Hebu tembelea Juba ukajioneeafadhali hapa kwetu
Kwanini wamempa uenyekiti? Najua uwenyekiti ni wa mzunguko lakini kwa hali yake ni kama kuidhalilisha Jumuiya kuonekana kuwa ni genge la watu wasiojielewa. Wangeacha Ruto aendelee tu.Viongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.
Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Chawa siku zote atapenda kunyonya damu lkn hapendi anayemnyonya damu atowe. Nafikiri umenipata, huyo yupo Kwa nguvu ya machawa wanaofaidi kekiViongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.
Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.