VIDEO: Rais wa Sudan na Mwenyekiti mpya wa EAC alivyoshindwa hata kujua Marais wa Nchi nyingine

VIDEO: Rais wa Sudan na Mwenyekiti mpya wa EAC alivyoshindwa hata kujua Marais wa Nchi nyingine

Mapenzi hupofusha,

Huwezi ukaona hata uambiwe nini


Hapo unaona jamaa kakaa madarakani miaka miwili tu.
Pitia post zangu zote kama Kuna mahali naunga mkono kiongozi yoyote kukaa madarakani kwenye nafasi Moja ya kuchaguliwa zaidi ya miaka 10. Na hili ni ikiwemo na huyo Mbowe, na msimamo wangu huu uko wazi Kila mahali, na hata hapa jf. Mfumo wa vyama vingi wenyewe acha hiyo cdm hauna miaka 40, Sasa huo utoto wako unautoa wapi?
 
Viongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.

Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
TUMEPIGWA NA KITU KIZITO SANA.
NA HAWA WALIOMCHAGUA HAWAONI HILI??????????
 
Waafrika ni mbwa kabisa!. Maiti kama hii ( Kiir) inaruhisiwaje kuwa rais?
Kama ni mkristo mkatoliki nenda kafanye kitubio kanisani kabla hujakomunika Jumapili ya wiki inayoanza leo.

Kama ni muislam tubu kwa namna unayoona inafaa. Umemkosea Mungu aliyekuumba.
 
Viongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.

Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Hadi nimejisikia aibu aise 😳
 
Viongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.

Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Hicho cheo ameomba au wamempa ili kumchora mwenzao? Basi wangempa hiyo nafasi huyo anayemsaidia hapo pembeni
 
Ndio maana Trump alisema Afrika inatakiwa inatakiwa itawaliwe tena 😀
South Sudani bado ni Nchi changa imetoka kwenye Vita siku sio nyingi na inaathiriwa na ukabila kati Makabila makuu mawili Dinka Bor na Nuer anakotoka Riek Machar.
 
Viongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.

Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Kwanini wamempa uenyekiti? Najua uwenyekiti ni wa mzunguko lakini kwa hali yake ni kama kuidhalilisha Jumuiya kuonekana kuwa ni genge la watu wasiojielewa. Wangeacha Ruto aendelee tu.
 
Viongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.

Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Chawa siku zote atapenda kunyonya damu lkn hapendi anayemnyonya damu atowe. Nafikiri umenipata, huyo yupo Kwa nguvu ya machawa wanaofaidi keki
 
Back
Top Bottom