he he he basi team domo leo mmepata chakuongea humuyani moyo wa baridiiiiiiiiii... kama nmekunywa barafu..
kiba hana cha kunivutia zaidi ya miziki yake..
sio mambo yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kiba ana mambo ya kijinga sana [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtuacheeee..he he he basi team domo leo mmepata chakuongea humu
Ni kiumri nadhani hahahah niwe tu mkweli coz inapendeza kuwa mpenzi wa MunguAlikiba ni mkubwa kuliko wizkid kiumri? Au ukubwa gani?
Nimemusikiliza mkuu. Ila kwann anapenda sana kupanda Backstage hasa matamasha ya AllyKiba?hujamsikiliza vzuri sallam sk
Kasema alikuwa Backstage wakati Wizkid ana perform na wakati Chris Brown ana perform. Pia anakili kuwa kuna tamasha la AllyKIBA Nchini Kenya aliwahi kwenda Backstage na AllyKiba kumuonya. Issue ni kwann anapenda sana kwenda Backsatge hasa siku za show za AllyKiba?Jamani sallam hakuwa Backstage..alikuwa kwenye zile Rooms za kule ghorofani kwenye kona...Hebu isikilize hiyo video vizuri urejee na zile clip zilizorushwa na Mseto wakati wa show...
Huku ni Jamii forums sio Instagram huko na facebook..humu ni Fact tu,kama huwezi kuangalia hiyo video mpaka mwisho kaa kimya
Mkuu madili ya yy na Chris Brown huwezi kufanya saa 6 usiku, muda mzr ni Official time.Mbona hiko swali ata dj kamsaidia kua kipindi kibakuli ana perform salam hakuwepo backstage, na salam anasem walikua kny vyumba yy na meneja wa wizkid tena walkuta drinks zmeisha wakamuita muhudumu aje awaletee mpk pale wiz alivyomtxt meneja wake wakatoka nje.
Pia n yeye km meneja backstage ndo sehemu yake pia sio jukwaani akitoa single utamuona jukwaani. Alishushwa was hallucinating izo time
Naona tunashindwa kuelewa tofauti ya umeneja na udalali.Meneja sio shows pekee mkuu, babu Tale anasimamia usambaaji wa Diamond hits nchi nzima. Labda nikuulize ni wimbo gani mpya wa Diamond uliwahi kukaa walau siku mbili haujagusa angle za Tanzania nzima? Ni mara ngapi nyimbo za diamond hupewa airtime kwenye local stations?
Kuna sehemu umeona kwa picha salam akiwa jukwaani??Mkuu madili ya yy na Chris Brown huwezi kufanya saa 6 usiku, muda mzr ni Official time.
Anaweza kuwa anajittea tu. Ila kwann huwa anapenda kupanda jukwaani hasa siku amabazo AllyKiba ana perform, make inaonesha huko nyuma pia nchini Kenya amawahi kufanya hivyo. Na siku hizo huwa Diamond hayupo!!
Kwahiyo ww unajua kuliko anacho kieleza kwenye video yy?Hiv mkuu unajua backstage kweli?? Dj anakaa backstage kweli?? Dah umenisononesha sanaa
Amesema alipanda na team ya wizkid, jiulize wewe why Kiba alikataa kupanda wakamsubiri for thirty minutes?? Asitafute mchawiKwahiyo ww unajua kuliko anacho kieleza kwenye video yy?
A mesema stage ni wasanii na watu kama sisi tusiyo perform tunakaa Backstage, huenda siku nikitoa single ndio nitakuwa on Stage!!
Issue hapa ni kwann anapenda kupanda jukwaani mara kwa mara siku ambayo mpinzani wake ana perform? Ili hali Diamond hapa perform? Kuna uwezakano mkubwa wa yy kuchochea Bifu au hata kuonga maDJ wakati yupo Backstage.
Sikiliza video usiwe unakurupuka kuandika bila kutafakari kwanza. Yy mwenyewe kasema kapanda mara 2 (Wizkid na Chris Brown) Backstage ila siyo on stage!! Huenda atakapo toa single yake atapanda on stage.Kuna sehemu umeona kwa picha salam akiwa jukwaani??
Mkuu naomba kuiona hyo maana ni mpya kwangu
Video sijasikiliza nimeangalia. Halafu aliyesema issue ya kupanda jukwani ni nan kama sio wewe. Naona huo mlopongi wa msg unakuhusu wewe moja kwa moja. Wewe ndo umekurupuka. Na km backstage unajuaje km kulkua na ngazi za kupanda na kushukaSikiliza video usiwe unakurupuka kuandika bila kutafakari kwanza. Yy mwenyewe kasema kapanda mara 2 (Wizkid na Chris Brown) Backstage ila siyo on stage!! Huenda atakapo toa single yake atapanda on stage.
Issue hapa siyo kuwa either on stage or Backsatge. Issue hapa ni kwann anapenda sana kupanda Backstage hasa wakati mpinzani wake anapokuwa anaperform make amewahi kufanya tena Kenya!! Rushwa siyo lazima ushiriki on stage au kwa kuclick kitu. Mazingira yake yanatia shaka. Kama ni business issue huwezi fanyia mazingira hayo.
Inawezkana Ratiba alikuwa nayo before!! Au alisense something not Good wakati tamasha linaendelea!! Afu hawa wanaowafanyia interview. Kwann wasiwalete wote 3 kwa pamoja ndio uwa interview? Huyo DJ, kaja na huyo Manager wa Diamond. Do you think watapingana?Amesema alipanda na team ya wizkid, jiulize wewe why Kiba alikataa kupanda wakamsubiri for thirty minutes?? Asitafute mchawi
Kwa hiyo katika video nzima hicho tu wewe ndicho umekinasa?!Kasema alikuwa Backstage wakati Wizkid ana perform na wakati Chris Brown ana perform. Pia anakili kuwa kuna tamasha la AllyKIBA Nchini Kenya aliwahi kwenda Backstage na AllyKiba kumuonya. Issue ni kwann anapenda sana kwenda Backsatge hasa siku za show za AllyKiba?
Kukutana na Chris Brown saa5 za usiku hakuna dili hapo, madili ni official time. Anaweza in oneway or another akachochoea au kuhonga ma DJ.
Video siyo kuangalia tu. Sijui umesoma wapi? Hata Taarifa ya Habari kuna watangazaji wa ishara ili viziwi wafahamu na kuelewa japo Picha wanaona!Video sijasikiliza nimeangalia. Halafu aliyesema issue ya kupanda jukwani ni nan kama sio wewe. Naona huo mlopongi wa msg unakuhusu wewe moja kwa moja. Wewe ndo umekurupuka. Na km backstage unajuaje km kulkua na ngazi za kupanda na kushuka
Wewe uczunguke jibu maswali hayo nlokuulza. Salam kapanda jukwaan saa ngaoi huko msa mm cjaona lete picha. Khs shule wapo kibao hawajasoma na wako mbaliVideo siyo kuangalia tu. Sijui umesoma wapi? Hata Taarifa ya Habari kuna watangazaji wa ishara ili viziwi wafahamu na kuelewa japo Picha wanaona!
Kasema alikuwa Backstage wakati Wizkid ana perform na wakati Chris Brown ana perform. Pia anakili kuwa kuna tamasha la AllyKIBA Nchini Kenya aliwahi kwenda Backstage na AllyKiba kumuonya. Issue ni kwann anapenda sana kwenda Backsatge hasa siku za show za AllyKiba?
Kukutana na Chris Brown saa5 za usiku hakuna dili hapo, madili ni official time. Anaweza in oneway or another akachochoea au kuhonga ma DJ.