Sikuwahi kufikiria kama Sallam ni Smart kiasi hiki?!!!Leo umeniprove wrong Sallamsk..nilikuwa nakuona kama mswahili mswahili hivi kumbe sio kabisa
Mbali na umeneja ila Shule pia Ipo,kichwani uko vyema sana,heshima kwako Sallam...tungepata meneja kumi tu kama wewe,muziki wetu wa bongo ungefika mbali sana.
Halafu mwambieni Alikiba mwenyezimungu hataniwi na wala hafanyiwi mizaha!!unaswali huku mziki unalia pembeni halafu ukimaliza kuswali unaenda kukata kiuno stejini?!?!mwenyezimungu anataniwa kiasi hiki?!
Kama umeamua kumwabudu mungu,wachana na muziki kama Mzee Yusuph uende ukamsujudie Maulana!!unataka muziki fanya muziki...
Ukute ni laana hizi mungu anamlaani Alikiba maana anautani na mungu,tangu alipoanzia kuimba mpaka leo hakuna kinachoeleweka!!