G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Inaonekana CDF Mabeyo ama mkuu wa JKT ndiyo wenye tatizo ama mmoja wao au wote juu ya hili jambo la vijana 850 waliotimuliwa baada ya kusaga ardhi vilivyo huko Msata kwa kosa la kuandamana.
Asikwambie mtu, hadi mtumishi wa ndani ya jeshi amefikia kuandamana ujue yamemfika shingoni kweli kweli. Siyo lelemama kama wengine wanavyodhani.
Any way muda utasema ila huenda CDF kwa hili ameficha jambo zito sana na upo uwezekano mkubwa kuwa hawa vijana walichoshwa kupita kiasi tena sana.
Zaidi soma: JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi
Asikwambie mtu, hadi mtumishi wa ndani ya jeshi amefikia kuandamana ujue yamemfika shingoni kweli kweli. Siyo lelemama kama wengine wanavyodhani.
Any way muda utasema ila huenda CDF kwa hili ameficha jambo zito sana na upo uwezekano mkubwa kuwa hawa vijana walichoshwa kupita kiasi tena sana.
Zaidi soma: JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi