yes mob psycholoy... hawakupata wa kuwashauri kuwa jeshini kugoma ni uasi. Itategemea MKUU atauchukulia hatua kali kiasi gani.kila mmoja na lwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yes mob psycholoy... hawakupata wa kuwashauri kuwa jeshini kugoma ni uasi. Itategemea MKUU atauchukulia hatua kali kiasi gani.kila mmoja na lwake.
Mungu ibariki JFInaonekana CDF Mabeyo ama mkuu wa JKT ndiyo wenye tatizo ama mmoja wao au wote juu ya hili jambo la vijana 850 waliotimuliwa baada ya kusaga ardhi vilivyo huko Msata kwa kosa la kuandamana.
Asikwambie mtu, hadi mtumishi wa ndani ya jeshi amefikia kuandamana ujue yamemfika shingoni kweli kweli. Siyo lelemama kama wengine wanavyodhani.
Any way muda utasema ila huenda CDF kwa hili ameficha jambo zito sana na upo uwezekano mkubwa kuwa hawa vijana walichoshwa kupita kiasi tena sana.
Zaidi soma: JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi
View attachment 1755335
Nimekuelewa sana tena sana. Jiwe aliwapa mkataba huo na akatangaza kuwa wakimaliza tu waajiliwe....Roadside decree kama kawaida yake. Huyu amekuja akaona kuwa, kama unavyosema, kuwa jeshini hakuna mikataba kama hiyo. Lakini as long as waliingia mkataba na Jeshi, basi CDF has an obligation to discharge the terms of contract. Kwa hiyo unasema kuwa mkataba huo ulikuwa na elements zote za coercion, undue influence, fraud, misrepresentation, mistake etc, etc, etc, then ni batili na hawakupashwa kuwaingiza vijana kwenye mtego huo. SO WHAT IS THE WAY FORWARD?My point is,before hata hawajaingia kwenye hayo makubaliano ilikuwa sahihi kuwaweka kwenye mtego huo kuwa mfanye kazi kwanza ya kujenga ikulu kisha ndipo niwape ajira?ajira jeshini huwa zinatolewa KWA muktadha huo?,I just want to know
Sio kweli! kiapo ni cha kumtii Rais ambayo ndie amiri jeshi mkuuNdio kwa mujibu wa viapo vya askari.
Wanajeshi wanaapa kwa CDF.
Kaka wanajeshi hawali UTII, kuna muda tuangalie hili jambo kwa jicho la KIUCHUMI wa mtu na familia zao.Jeshi ni utii
Jeshi ni heshima
Jeshi hakuna kuhoji kabla ujafanya ulichoelekezwa
Jeshi halina siasa chama wala dini
Ni utovu wa nidhamu mkubwa sana wanajeshi kuandamana
Maandamano ni ya wanasiasa NGO's za kiraia makundi mengine but sio majeshi.
Alichokifanya Mabeyo namuunga mkono 100% lazima jeshi Liwe tiifu kwani ndio sifa namba moja ya kuwa mwanajeshi.
Kasema wangekuwa wameajiliwa na jeshi basi wangehukumiwa kijeshi na yuko sawa katika hili, jeshi lina sheria zake na mahakama za kijeshi. Tuseme hawa vijana walipewa ahadi lakini katika jeshi unafuata amri ya mkuu wako wala uhoji amri hata ukiwa vitani ni amri ndio jeshi sheria zake nidhamu 100%. Hawa vijana wameonesha tu hawafai kuwa wanajeshi maana wameshindwa mtihani ambao ni basic kabisa. Jeshi kukataa amri ya mkuu huo ni uasi, naunga mkono vijana wamechemka vibaya hata kama walipewa na ahadi.Kaka wanajeshi hawali UTII, kuna muda tuangalie hili jambo kwa jicho la KIUCHUMI wa mtu na familia zao.
Hivi mtu anayefanya UASI unamrudisha nyumbani? Something is fishy...
Achana na huyo mjuaji CDF anateuliwa na kutenguliwa na rais sa iweje CDF awe na nguvu kuliko mamlaka yake ya uteuzi.
ndio mnavyodanganyanaga hvyo mtaani?Kwa kiapo cha Jeshi, askari wanamtii CDF. Yaani CDF akisema chochote, hawamsikilizi Rais.
Sasa hao wamefukuzwa na CDF mwenyewe, hivyo hata amri ya Rais haina nguvu.
Hao misukule wanyea mdomoni watakuchosha tu.. mzimu wa JPM unawatafuna kila uchao ndo maana wanahara kila wakisikia jinale.Unamlaumu bure maana yeye alisema waajiliwe wakimaliza. Sasa CDF amebadili upepo, nani wa kulaumiwa?
Magu fool kafa, sijui kwanini kila kitu mnafanya reference kwa mzoga huo
Mkuu hilo suala ni kwa mujibu wa wanajeshi wenyewe.
Kwamba wao wanamtii na kumsikiliza CDF.
Hawana sifa hao yaani kitendo cha kugoma jeshini umejifuta ,ulishawahi sikia wapi mwanajeshi akagoma