Video: Timu ya Yanga tayari imewasili uwanjani Mkapa, ila ndani hakuna mashabiki wametolewa

Video: Timu ya Yanga tayari imewasili uwanjani Mkapa, ila ndani hakuna mashabiki wametolewa

Sisi timu tunaipeleka Taifa, kisa cha kuahirisha mechi ni ujinga wa watu wanaoamini nguvu za giza. Jana hakuna wachezaji walioenda kufanya mazoezi usiku. Kwenye basi mlijaza vibabu kibao, kondoo na mbuzi. Mlitaka mkapike supu mule ndani?

Acheni uchawi wenu, kinachowafanya leo msilete timu, ni hiko makafara yenu hayakufanyika hovyo kabisa. Na mna bahati nyie, leo mngeokota mipira wavuni, mpaka mngekimbia uwanjani. Zile 5 ingekuwa mara mbili simbilisi nyie, mmetukosesha uhondo.
 
Sisi timu tunaipeleka Taifa, kisa cha kuahirisha mechi ni ujinga wa watu wanaoamini nguvu za giza. Jana hakuna wachezaji walioenda kufanya mazoezi usiku. Kwenye basi mlijaza vibabu kibao, kondoo na mbuzi. Mlitaka mkapike supu mule ndani?

Acheni uchawi wenu, kinachowafanya leo msilete timu, ni hiko makafara yenu hayakufanyika hovyo kabisa. Na mna bahati nyie, leo mngeokota mipira wavuni, mpaka mngekimbia uwanjani. Zile 5 ingekuwa mara mbili simbilisi nyie, mmetukosesha uhondo.
😀😀😀 mnaogopa vibabu?
 
Wameruhusiwa vipi kupita na msafara wao kwenye geti wakati bodi na TFF wameshatoa taarifa kuwa mechi hakuna. Halafu unamsikia chura mmoja anasema hawahusiki na kuwazuia Simba kuingia uwanjani siku ya jana.
Kuzuiwa kuingia uwanjani ndio kugomea mechi? Wacha wakamilishe protocol inavyosema alafu tuje tuone mechi iliyoahirishwa itachezwa na nani!
 
Yanga hawajapata barua halafu ofisi haifanyi kazi kupitia Instagram.

Nyie mmegoma endeleeni na mgomo wenu sisi tumeamua kwenda uwanjani kwani leo tuna mechi. Uwanja ule unalipiwa na Yanga sababu ndiye mwenyeji.
Matapeli wakubwa. Hapo mnatafuta chaka la kufinyia kwa ndani viingilio vya watu. Halafu mlivyo wanafki kuna mtakaojidai ni wafia dini na mmefunga. Uhuni mtupu.
 
Mambo ya Kijinga sana, TFF na Bodi ya Ligi inapaswa kuondoka yote, Unaahirisha mchezo kwa sababu ipi ya msingi? Gharama za mchezo na fidia inakuwaje? Boashara utd na JKT Queens kwanini michezo haikuahirishwa na kupangiwa siku nyingine badala yake mkawaonea kuwakata alama??
Gentleman!
Simba na Yanga ni tofauti sana na hizo timu ulizozitaja. Na tatizo kuu linaanzia hapo.

Mei 08,2021 mlivyokula 'Nyoya' Simba alipewa point?

Lazima ifikie mahali Simba iheshimike na sio inavyochukuliwa kwamba wao kila kitu 'Hewala'.

Uvumilivu una kikomo.
 
Imeahirishwa wapi! Instagram?

Sababu za kuahirishwa ni zipi? Tulikubaliana kuahirisha au mlikaa pande mbili mkakubaliana kuahirisha. Bofi ya ligi hamna kitu mule
Imeahirishwa, ni taarifa rasmi kutoka Bodi. Hata sisi huku Kitulo Makete tumepata taarifa saa 8. Haijalishi kama taarifa ziko Instagram Facebook au kokote.
 
Hata wao wenyewe wanajua leo mechi haipo na ndio maana unawaona wanaingia uwanjani kupitia mlango rasmi.

Sio kama wajinga kabisa.
 
Matapeli wakubwa. Hapo mnatafuta chaka la kufinyia kwa ndani viingilio vya watu. Halafu mlivyo wanafki kuna mtakaojidai ni wafia dini na mmefunga. Uhuni mtupu.
Wenye uwanja wanatudai lazima tuutumie, sisi ndio tulio ulipia.

Halafu unaumia nini sisi kwenda uwanjani,wakati wewe umechagua kugoma, wewe endelea na mgomo sisi tunaendelea na mechi.
 
Wenye uwanja wanatudai lazima tuutumie, sisi ndio tulio ulipia.

Halafu unaumia nini sisi kwenda uwanjani,wakati wewe umechagua kugoma, wewe endelea na mgomo sisi tunaendelea na mechi.
Unaendelea na mechi ipi wakati timu pinzani, waamuzi na wasimamizi wa mchezo wote hawapo uwanjani. Nilishasema msimu huu baada ya kuona hamna chenu mmeamua kuwa drama queens.
 
Mimi sio shabiki kindaki ndaki wa mpira lakini kwenye hili suala mashabiki inabidi na wao waoneshe msimamo wao. Wanachotakiwa kufanya ni kutokuingia uwanjani siku mpya ya mechi (itakayopangwa na bodi). Naamini kuna viongozi wa mashabiki wa hivi vilabu viwili, watoe msimamo wao kuwa pesa walizolipia kwenye mchezo huu zitumike kwenye michezo mingine ila sio mchezo mpya wa Yanga ya Simba. Wacheze wenyewe uwanjani bila mashabiki na mapato ya uwanjani ili liwe funzo waache kucheza na akili na pesa za mashabiki. Tofauti na hivyo hivi vilabu na hao TFF/Bodi hawataacha huu ujinga kamwe!
 
Unaendelea na mechi ipi wakati timu pinzani, waamuzi na wasimamizi wa mchezo wote hawapo uwanjani. Nilishasema msimu huu baada ya kuona hamna chenu mmeamua kuwa drama queens.
Drama queen nyie,huko CAF huko uarabuni mara kibao timu zinazuiwa kutumia uwanja baada ya mechi, ila siku husika mechi inachezwa then maamuzi ya CAF yanafanyika baada kupitia ripoti ya mechi husika.

Yaani hata hao CAF wenyewe wakisikia watawashangaa, ila si shangai nyie waziwanda wa TFF mnawamudu TFF.
 
Back
Top Bottom