We BWE.GE hayo mashtaka mbona siyo ambayo yaliyoko huko Mahakamani? Jinga kabisa, wewe ndio Polepole wa CCM? PumbavuHuyu jamaa tukiacha unafiki alimtukana sana Magufuli, mbaya alikuwa anatumia gazeti na maadui zetu wazungu... Tena aombe sana Mungu bado yupo hai, anajua Jamal Khashogy alicho fanyiwa baada ya kuichafua nchi yake na kukimbilia Marekani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda ukifika utajua msaada wanguKamsaidie basi kwenye hiyo operation
You are a disgrace to your fellow human beings, wazungu maadui? bona hata bajeti ya tz hamuwezi ifadhili mpaka muombe hao wazungu msaada? hata condom munaomba husaidiwe nazo, magufuli ametukana wangapi, na lini na wapi kabendera katukana magufuli, lakini sikulaumu, ni vile wazazi wako hawakuona umuhimu wa kukupeleka shule ndio angalau uwe na akili na sio FERMENTED PORRIDGE in your headHuyu jamaa tukiacha unafiki alimtukana sana Magufuli, mbaya alikuwa anatumia gazeti na maadui zetu wazungu... Tena aombe sana Mungu bado yupo hai, anajua Jamal Khashogy alicho fanyiwa baada ya kuichafua nchi yake na kukimbilia Marekani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na hao wapumbavu...watetezi wa Adolf Hitler walikuwa zaidi ya takataka hizi unazozishuhudia humu ndani lakini siku ya siku ilipofika kila moja wao alitafuta nchi ya kukimbilia kujificha. Na hata huko walikokimbilia hawakuweza kubaki salama, waliwindwa kama nguchiro na moja moja waliendelea kukamatwa hadi wakiwa wazee hawajiwezi.You are a disgrace to your fellow human beings, wazungu maadui? bona hata bajeti ya tz hamuwezi ifadhili mpaka muombe hao wazungu msaada? hata condom munaomba husaidiwe nazo, magufuli ametukana wangapi, na lini na wapi kabendera katukana magufuli, lakini sikulaumu, ni vile wazazi wako hawakuona umuhimu wa kukupeleka shule ndio angalau uwe na akili na sio FERMENTED PORRIDGE in your head
Unamanisha kuwa karma inafanya kazi kwa kabendera hivi sasa na badae itahamia kwa mr NjaaSijui Pascal Mayalla akimuona hivyo anajisikiaje...
Btw, karma is bitch...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaani hujui kuwa kuna sheria inayohusiana na Plea Bargaining??!!Kwani anashitakiwa kwa kutakatisha fedha ama kuandika makala dhidi ya Magu? Halafu Magu ana mamlaka ya kusamehe watu ambao kesi zao bado zinaendelea mahakamani?
Mavuvuzela kama nyinyi ndiyo mnamlaumu! Kabendera ndiyo aliyataka mwenyewe kama mnamuonea huruma sana kunyweni sumu ya kunguni.
Anakula alichopanda,yeye aliona amefuma deal ya kutokea kimaisha akisaidiwa na kina Zitto ambao ndio mfumo wao wa maisha.Huyu jamaa tukiacha unafiki alimtukana sana Magufuli, mbaya alikuwa anatumia gazeti na maadui zetu wazungu... Tena aombe sana Mungu bado yupo hai, anajua Jamal Khashogy alicho fanyiwa baada ya kuichafua nchi yake na kukimbilia Marekani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa nchi nyingine hadi mda huu ungekuta walisha mpasua ubongo, hawa ndiyo wanao chochea vurungu na mwisho yanatokea machafukoYou are a disgrace to your fellow human beings, wazungu maadui? bona hata bajeti ya tz hamuwezi ifadhili mpaka muombe hao wazungu msaada? hata condom munaomba husaidiwe nazo, magufuli ametukana wangapi, na lini na wapi kabendera katukana magufuli, lakini sikulaumu, ni vile wazazi wako hawakuona umuhimu wa kukupeleka shule ndio angalau uwe na akili na sio FERMENTED PORRIDGE in your head
Daah Mkuu umepuyanga SanaKusudi la mada hii kama ilivyowasirishwa ni kutia watu woga. Yanayompata Kabendera "liwe fundisho kwa wengine."
Ndiyo maana ya mada hii. Ndio lengo la mada.
Kwa kutazama hiyo picha iliyowekwa hapo, sijui mleta mada amesoma vipi mwonekano wa Kabendera hadi akaona "anatia huruma!"
"Anatia huruma" kwa vile anaonewa kwa kubambikiwa kesi?
Hawa wazungu wakisha kutumia hutawaona tena wakati huo wanaplan mission nyingine huku mkipambana na mitutu wenyewe kwa wenyeweAnakula alichopanda,yeye aliona amefuma deal ya kutokea kimaisha akisaidiwa na kina Zitto ambao ndio mfumo wao wa maisha.
Sasa mtu makini,kwa akili yako bila uoga unaamua kumtukana rais wa nchi yako ili upate ujira toka kwa mzungu,eti kisa ni haki ya kujieleza?
Kazi kwake!
Pesa alikuwa akitumia kwa manufaa yake na hiyo ndio wazungu wanaita Consequences!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Utatukana sana huyu walikuwa wamle kichwa, huwezi kumtukana rais wa nchi halafu ubaki salama yaani... Jamal Khashogy alitukana sana nchi yakeWe BWE.GE hayo mashtaka mbona siyo ambayo yaliyoko huko Mahakamani? Jinga kabisa, wewe ndio Polepole wa CCM? Pumbavu
Huyu Kabendera ndiyo ameshaanza kuvuna alichopanda juzi kafiwa na mama yake kwa kukosa huduma sasa wao waliokuwa wanamtuma mbona hawakumsaidia mama yake? Muache anyooshwe ili ajifunze!Ingekuwa nchi nyingine hadi mda huu ungekuta walisha mpasua ubongo, hawa ndiyo wanao chochea vurungu na mwisho yanatokea machafuko
Huyu hatoki Leo wala kesho huko jela. Na bado watamzungusha na kesi yake hadi Magufuli atoke madarakaniView attachment 1322175View attachment 1322176View attachment 1322177View attachment 1322178View attachment 1322179
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Utapata taabu sana, huyu hatoki yaani..Wazungu ni "maadui zenu."
Hujui kutofautisha 'nchi' na 'mtu'. Kiufupi wewe ujinga unakubabili. Jibidishe kuuondoa ujinga.
Ulivyoandika hapa inaonyesha huna uelewa (not informed).
Hujui waliomfanya Khashogy wanafanya nini kwa sasa!
Sasa kusema ukweli limekuwa kosa la jinai si bora sheria ibadilishwe tu