Video: Tundu A. Lissu apewa tuzo ya Bush - Thatcher Award (BTA) ya kupigania Uhuru, Haki na Utawala bora toka IDU

The award has nothing to do with us as Tanzanians; that is his personal achievement to lure his masters which he needs to transform into practice at Ikungi and blind spectators.
 

Kwa Mtanzania yeyote anayejielewa, the whereabouts of Lissu's driver is an issue. Those paying dearly to hide him have a lot more to hide. Kama wewe hujielewi rafiki yangu na hulioni hilo omba Mungu wa Mbinguni akuonyeshe mwanga.
 

Rais Magufuli ateuliwa mshindi wa tuzo ya ukombozi Afrika​

17 Julai 2018

Kwani tuzo hii ilisaidia nini katika jamii, kwenye mlengo uliosema wa kuleta huduma bora mahospitalini na madawati shuleni???
 
Mwambieni atazoa 'Tuzo' sana tu za hao 'Mabeberu' wake wanaomtuma ila Tanzania 'Rais' ni Dk. Magufuli na Chama Tawala ni cha 'CCM' tu pekee.
Siamini kama nilichosoma umeandika wewe Genta! Wakiandika Jingalao, Etwege and the like sawa lakini si wewe Genta. Aibu gani hii bajameni? UD ni jalala(P.Kabudi, B. Ali), Mzumbe( NW madini) na sasa SAU( H. Abbas na wewe) Kunya aibu chooni. Irreversible. MTU akikosa aibu anabaki tu binadamu. Bin Adam ni mnyama kama mnyama mwingine yeyote. Inatisha. Genta kama Jmc06, Nazgur! Unatafuta nini wewe, authority katika Bahima Empire?
 
Walaumu 'waliokuzaa' kwanini 'walikuzaa' na 'Upumbavu' ulionao na sasa 'unatuchukia' ambao Mwenyezi Mungu 'alitubariki' na 'Akili' Kubwa sana.
Hembu acha kutukana, kujimwambafy na kutisha watu we jamaa.

Weka academic record yako hapa kwanza. Tuanzie hapo.
 
Wazungu wanajuwa kucheza na akili za watu sana, pole Lissu.....tunakuombea urudi nyumbani salama tu
 
Sijawahi Kuulizwa au Kukutana na Swali la 'Kipumbavu / Kipopoma' tokea nijiunge hapa JamiiForums kama hili lako. Limenifanya 'nikudharau' sana.
Gentamycin ni jina la antibiotics ambayo ipo effective zaid kwa gram positive bacteria, na dawa hiyo imegundulika na mabeberu ambao unawaponda hapa lakin jina lao unatumia, jiite mwinyimkuu, jiite mwanamalund, jiite kimweri n.k, hapo ndo aliposema mrisho mpoto "kilichopo moyoni huponzwa na ulimi"
 
Makanikia yetu yanatutojea puani......
 
Mwambieni atazoa 'Tuzo' sana tu za hao 'Mabeberu' wake wanaomtuma ila Tanzania 'Rais' ni Dk. Magufuli na Chama Tawala ni cha 'CCM' tu pekee.
Wewe nadhani si mzanaki kama unavyojinadi, mbona wakati mwingine unakuwa vizuri tu.
 
Hongera Belgium kwa kupata tuzo...huyo ni mbelgiji sasa inatusaidia nini sisi tuzo yake?
Hongera Belgium kwa kupata tuzo...huyo ni mbelgiji sasa inatusaidia nini sisi tuzo yake?
Kweli sasa nimeamini ulizaliwa kijiji cha Katerero ulipopita mto Ngono! Wewe bin Adam unatumia bandama kufikiri? Tanzania kuna vi-wonder lakini leo wewe na Genta ni vituko kakake vi-wonder!!!
 
Unaikumbuka hii award aliyopewa JPM mwaka huu? ikiitwa Top Tanzania Assemblies of God Award-2020
 
CCM hatuna 'Wendawazimu' na 'Mashoga' kama Wewe tafadhali. Ukiona hadi GENTAMYCINE naipenda CCM jua hata Mwenyezi Mungu anakipenda.
Mh,
MUNGU yupi huyo,unaongelea yule wa mbinguni? anaesema tusikae barazani na wasio tenda haki? au unaongelea miungu bosi wangu! kama ni yule hawezi kuipenda hii kitu hata siku moja najua unajua kwanini nasema hivyo.
 
Walaumu 'waliokuzaa' kwanini 'walikuzaa' na 'Upumbavu' ulionao na sasa 'unatuchukia' ambao Mwenyezi Mungu 'alitubariki' na 'Akili' Kubwa sana.
Hakuna mzanaki mwenye lugha za mtaani namna hiyo, usituharibie sifa ya kabila letu mkuu. Chukua muda wako vizuri uijue asili yako.
 
Rubbish expected from an idiot, imbecile, nincompoop, uncouth, uncivilized, uncultured and uneducated fool of all fools like you!
 
Toka lini unakaimu nafasi ya Mungu?
 
Walaumu 'waliokuzaa' kwanini 'walikuzaa' na 'Upumbavu' ulionao na sasa 'unatuchukia' ambao Mwenyezi Mungu 'alitubariki' na 'Akili' Kubwa sana.
Umepatia kwelikweli. 'alitubariki' hakuna baraka na 'akili' kuduhu. Leo umeamkaje wewe mjivuni aso haya bingwa wa matukano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…