Video: Tundu A. Lissu apewa tuzo ya Bush - Thatcher Award (BTA) ya kupigania Uhuru, Haki na Utawala bora toka IDU

Video: Tundu A. Lissu apewa tuzo ya Bush - Thatcher Award (BTA) ya kupigania Uhuru, Haki na Utawala bora toka IDU

Lissu alikuwa akishindana na Jiwe.
Kama Jiwe Magufuli angeliruhusu a Free&Fair election 2020 nina hakika hilo jopo la IDU na ADU lingempa ushindi huo.
Alisikika mlevi mmoja akiropoka.

Endeleeni kuropoka hivyo hivyo mpaka 2025 iwakutane.

Wenzenu wana uongozi hadi nyumba 10 ninyi hata baadhi ya Wilaya hakuna uongozi wa chama halafu mnaota ushindi? Hivi kwa akili yenu hiyo FREE AND FAIR ELECTION itawabeba ninyi pekee na huo ushabiki wenu wa mitandaoni.
 
Kuna muda yakupasa utumie akili zako binafsi

Ngonjera, Mipasho na taarabu nenda jukwaa la Mapenzi

Jadili kuhusu hiyo tuzo

Kama hufahamu ni kitu gani na kwanini inatolewa na ilianza lini kaa kimya

Wewe ni jitu zima, Fikiri kwa kutumia akili na ubongo sio kwa kutumia mashavu

Haya mkuu tujadili kuhusu tuzo. Tuambie toka moyoni mwako kabisa. Sisi tuko na wazungu huku. Hata kiti tu kwenye Train. Au Tram au Bus kushare na mwafrika tabuuu. Tueleze how special huyu Lissu kwa Mzungu na Mtanzania kama mimi. Kuna wakati mnakuwa kama mmeuza sehemu ya ubongo wenu Hivi. It’s a pity. Zamani wakati wanasema kichaa hajitambui Kama kichaa nilikuwa siamini Ila Sasa ndo naona hapa JF. Its a pity.
 
Alisikika mlevi mmoja akiropoka.

Endeleeni kuropoka hivyo hivyo mpaka 2025 iwakutane.

Wenzenu wana uongozi hadi nyumba 10 ninyi hata baadhi ya Wilaya hakuna uongozi wa chama halafu mnaota ushindi? Hivi kwa akili yenu hiyo FREE AND FAIR ELECTION itawabeba ninyi pekee na huo ushabiki wenu wa mitandaoni.
watu wanaongea kwa hoja unasema wanaropoka wewe utakuwa ccm
 
Back
Top Bottom