Hahahah kwa hiyo kushirikiana washirikiane na serikali kupeana pesa na ruzuku kwa manufaa ya wananchi, lakini inapokuja suala la tuzo anapewa Lissu,, hivi wewe inaingia akilini wewe..Lissu alichofanya Ni Nini...kwanini hiyo misaada hawakumpa basi Lissu ili ailete yeye kwa wananchi...ulishawahi hata siku moja kumsikia lissu anajadiliana na mabeberu kwa issue zinazowafaidisha wananchi hata siku moja...Kama kuwaombea fedha hata za Corona..huoni ajabu..Lissu sanasana anataka mabeberu yawawekee vikwazo wananchi na nchi yote Ili wataabike..tena wakiwamo ndugu zake was damu nao waje wataabike..yeye na familia yake tu waishi Kama peponi..hii in maana hata wanachama wa chadema wataabike...hivi unamwona ana akili huyu jamaa...