Unamuendesha nani hata boda boda unayopanda taa yake imetengenezwa na beberu, non-sense...Povu linakutoka dada[emoji23][emoji23][emoji23] #Niyeye karudi kwa mabwana zake yeye alisema akishinda atawapa wazungu rasilimali zote, sisi tulisema tukishinda tutaendelea kuwatumikisha wazungu kwenye miradi yetu na tunawaendesha kweli kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]