Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Lissu anawafundisha adabu NEC. Next time watatoa tafsiri sahihi ya maana ya “kumfungia mtu siku 7 kutopiga campaign”. Otherwise wataachana na huo ujinga wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah[emoji1] lissu Ni anajua kukera balaaIla Lissu jamani amenishinda tabia
Kesho Yuko feri Kisha atapanda pantoni to kigambonihuyu atanunua mpaka dagaa za buku sasa.
Kesho Yuko feri Kisha atapanda pantoni to kigamboni
Tatizo ni moja tu Bia yetu...Mimi huwa Namhurumia kwa kweli, ila sio upande wa kura
Kwenye kura lazima tumchape ajutie kusaliti Nchi
Na kwenda kunywa madafu.bado kuchinja ng'ombe na wagogo mazizini.
Rais wa watu na ummaLissu ameamua kuutumia vizuri muda wa likizo ya lazima ya Tume kutafuta mahitaji yake ya muhimu.
View attachment 1594397
Raha sana. Sasa wanashindwa waje na visababu gani yaani.Hahahaha kwetu raaahaa
Piga piga spana babaa
Imepenya hiyo
Hahhaaa akili zao ziliwatuma kuwa atajificha ndani ya nyumbaDuu ! Mpaka NEC wanajuta kwa nini walimsimamisha walidhani angekaa nyumbani tu.........
Kesho yuko Taifa magari yanasoma watu kutoka Mbweni? Mabwepande na Mkuranga😃😃😃Bwana Yule sijuwi kama ana pata usingizi
Tunajua Lowasa alishinda wenye akili wanajua hilo. Mwaka huu Lissu atashinda pia. Mambo ya kusema eti alishinda lakini hakutangazwa yaliishia 2015Hizo mbinu alitumia Lowassa zikabuma ukichukulia mwenzake alisomea usanii
Alishinda ndio na ni rais mpaka sasa hiviTunajua Lowasa alishinda wenye akili wanajua hilo. Mwaka huu Lissu atashinda pia. Mambo ya kusema eti alishinda lakini hakutangazwa yaliishia 2015
Kuliko yule anaeboronga lugha aliyoitumia kujifunzia o level- phd acha utani we bia😂😂😂😂😂😂😂Huyo bwana anatia huruma
Ila sio huruma za kura[emoji3] kichapo kipo pale pale
✌✌✌✌✌✌✌✌✌👊👊👊👊Mkuu BAK kama uko karibu naye, au wafuasi wake, mwambie/waambie nafasi anayegombea siyo ya Serikali za Mitaa. Anachofanya kwa sasa kuzunguka mitaani, pamoja na kuhatarisha maisha yake (kumbuka amekuwa akidai usalama wa maisha yake kwa jeshi la polisi na usalama wa taifa), ni kichekesho. Vijana wa mjini wanamwona kama kinyago vile.
HAKIKA LISSU ni mwanasiasa uchwara
Ki vipi? Kuna vita?Na huo ndo ukweli. Tanzania si nchi salama, hasa ukitofautiana na wenye mamlaka.
Nakubali kabisa kiongozi kujilimbikizia madaraka.Mkuu, tuungane kuukataa huu utawala wa WATEKA NYARA. Uhuru na Demokrasia ni lazima vitamalaki baada ya Oktoba 28.