Video: Tundu Lissu aingia soko la mitumba Manzese kutafuta Cadet na Jeans za mitumba

Video: Tundu Lissu aingia soko la mitumba Manzese kutafuta Cadet na Jeans za mitumba

Hivi vitu hata Lissu akikabidhiwa Mamlaka mbona atavifanya tu,hata wewe unaweza,ni kiasi cha kukusanya kodi na kuandaa bajeti bungeni,so easy...hakuna cha ajabu hapo
Lissu ataviiuza vyote kwa Mabeberu asubuhi na Mapema,si unamuona alivyo vipania mpaka Kama anaweweseka hivi!!
 
Lisu ndio kawa kituko kabisa!

Huyu jamaa akikosa urais anaweza kuchanganyikiwa!
Yaani kapania,na anaona Kama muda hauwendi kabisa ndiyo maana anatangatanga Mara huku Mara kule!!
 
Habari njema kweli hii. Wananchi wameishajiandaa kwa ajili ya kesho kwenda kumuona Rais wao!
Uwanja wa Taifa leo umetapika
Live kampeni za Raisi Magufuli Dar es Salam leo uwanja wa taifa


 
Mkuu BAK kama uko karibu naye, au wafuasi wake, mwambie/waambie nafasi anayegombea siyo ya Serikali za Mitaa. Anachofanya kwa sasa kuzunguka mitaani, pamoja na kuhatarisha maisha yake (kumbuka amekuwa akidai usalama wa maisha yake kwa jeshi la polisi na usalama wa taifa), ni kichekesho. Vijana wa mjini wanamwona kama kinyago vile.

HAKIKA LISSU ni mwanasiasa uchwara

is this the wasted sperm people are talking about or nmechanganya??
 
Mawazo yako ya kipunguani na mfu
Kama unatawaliwa na lugha ya aina hiyo hakuna shaka hata kwenye familia, ndugu, majirani na marafiki hukushangaa. Ni dalili wewe unashinda kijiweni kunakotumika lugha ya aina hiyo. Hujachelewa kubadilika, la ulimwengu utakufunza.
 




Wamemchoka tu sio kwamba awajui tafsiri ya anachofanya ni political campaign.

Kama wangekuwa wana shida nae wanamuongezea adhabu kirahisi sana.

Hakuna cha akili yeyote zaidi ya kuendelea na ukaidi tangia amerudi.

Adhabu ipo wazi amezuiwa kufanya political campaign (general) sio kutokufanya mikutano tu (exclusive).


Wewe nawe ni mjinga tu kama wajinga wengine...
What is "general political campaign" aliyopigwa marufuku kufanya?

Mtu kaenda zake sokoni kununua suruali yake ya mtumba, halafu wanamiminika wenyewe kumfuata kumsalimia na kupiga naye selfie wewe unaona taabu, una akili kweli....?

Kwani hao NEC katika "hukumu" yao waliweka utaratibu wa kumletea mahitaji yake ya kila siku ndani? Na kwani walimfunga kifungo cha kukaa ndani?

Wewe ukienda zako dukani au Manzese kununua zako mitumba ya mkeo na watoto wako kuna mtu anajali kwani....?

It's impossible kumfungia mtu njia zote za kufanya kampeni unless umemfunga gerezani katika chumba cha peke yake kama gaidi au mhaini hatari..!!!!

Ukinifungia mikutano, nitakutana na watu kwenye magrupu ya social medias i.e WhatsApp, FB, Instagram nk na tutapiga story na jamaa zangu za kuhusu uchaguzi...!

Ukinipiga marufuku mikutano yangu ya kampeni, nitakutana na watu kwenye shughuli za kijamii na tutapiga nao story za uchaguzi bila taabu....!

The best way kumzuia mtu huyu ni aidha kumfunga gerezani au pigeni risasi 100 safari hii au waambie NEC waondoe picha yake kwenye ballot papers, baasi tuone kama mtaimaliza kazi....!!
 
Back
Top Bottom