Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako pia mkuu Monetary doctorJina lake mwokozi Yesu.....
Ni kiboko yaa sheetaani....
Likitamkwa huponya magonjwa......
Na mapepo yanakimbia.....
Alimwita Lazaro aliyekufa.... Toka nje..
Lazaro uwe mziiiimaaa akatoka Lazaro..... Aliyenuka
Yuuu mzima Lazaro kaenda zake
Akatoka Lazaro aliyenukaa.....
Yuuu mzima Lazaro kaenda zake
Hakunaaaaaaa hakunaaaaaaa
secretarybird uwe na jumapili njema Lamomy cocastic Ibn Unuq ......
Amina kiongoziKwako pia mkuu Monetary doctor
Tafuta wewe mleta mada umaskini sio sifaJana nimeshangaa kuona ubarikio wa mtoto wa Bilionea Knyama KKKT peke yake tofauti na wenzetu huko Katoliki ambako ratiba ya komunio/kipaimara ni kwa wote (bila kujali kipato cha mzazi/mlezi) na sio mmoja mmoja. Shkamoo Mangi
View attachment 3182057
Cha kupendeza hapo ni utu.
kuipa ‘Le Mutuz’ tv exclusive ya tukio. Inakuonyesha kuna marafiki wanakuthamini hata ukiwa umezikwa.
Good!Jina lake mwokozi Yesu.....
Ni kiboko yaa sheetaani....
Likitamkwa huponya magonjwa......
Na mapepo yanakimbia.....
Alimwita Lazaro aliyekufa.... Toka nje..
Lazaro uwe mziiiimaaa akatoka Lazaro..... Aliyenuka
Yuuu mzima Lazaro kaenda zake
Akatoka Lazaro aliyenukaa.....
Yuuu mzima Lazaro kaenda zake
Hakunaaaaaaa hakunaaaaaaa
secretarybird uwe na jumapili njema Lamomy cocastic Ibn Unuq ......
Rombo hioWandu waode leri lanyeee... Big up kwa Mangi.
Sio kweli sema hujui tu hata huku katoliki mambo haya yapo. Tena kwa wakatoliki huo ubatizo unaweza ukafanyikia nyumbani kwa hiyo familia!Jana nimeshangaa kuona ubarikio wa mtoto wa Bilionea Knyama KKKT peke yake tofauti na wenzetu huko Katoliki ambako ratiba ya komunio/kipaimara ni kwa wote (bila kujali kipato cha mzazi/mlezi) na sio mmoja mmoja. Shkamoo Mangi
View attachment 3182057
Unatamani aliyenacho apokonywe ili mlinganeNimemkumbuka Magufuli!