Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
sawa bossFanya hivyo ili na Mimi nikumbike zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa bossFanya hivyo ili na Mimi nikumbike zamani
Ameeen. Na kwako mtumishi 😻Jina lake mwokozi Yesu.....
Ni kiboko yaa sheetaani....
Likitamkwa huponya magonjwa......
Na mapepo yanakimbia.....
Alimwita Lazaro aliyekufa.... Toka nje..
Lazaro uwe mziiiimaaa akatoka Lazaro..... Aliyenuka
Yuuu mzima Lazaro kaenda zake
Akatoka Lazaro aliyenukaa.....
Yuuu mzima Lazaro kaenda zake
Hakunaaaaaaa hakunaaaaaaa
secretarybird uwe na jumapili njema Lamomy cocastic Ibn Unuq ......
KKT imejaa wahuni tu, wao pesa mbele, nawakubali sana Romani ingawa sisali huko,Nina abudu kkkt, hawa jamaa ukiwa na hela unapata special treatment kuanzia ubatizo/kipaimara/Ndoa/hadi Ibada yako ya mazishi
Najitahidi kwenda nao sawa ili tusitengwe tukifa
Kwahiyo michango ya Ujenzi/kutunza watumishi n.k unachomoa kibunda unawapa
Labda kwenye sherehe za jumuiya.Sio kweli sema hujui tu hata huku katoliki mambo haya yapo. Tena kwa wakatoliki huo ubatizo unaweza ukafanyikia nyumbani kwa hiyo familia!
Umesema sahihi, jamaa wanazijua hela mnoKKT imejaa wahuni tu, wao pesa mbele, nawakubali sana Romani ingawa sisali huko,
Leka mboruWandu waode leri lanyeee... Big up kwa Mangi.
Haha,,🤣🤣. Loi, kuwonyi?Leka mboru
Mkapa amewatajirisha wachaga aisee! Mmakua yule nini kilimkuta? Huyu si ndiyo alikuwa personal account ya mke wa mkapaJana nimeshangaa kuona ubarikio wa mtoto wa Bilionea Knyama KKKT peke yake tofauti na wenzetu huko Katoliki ambako ratiba ya komunio/kipaimara ni kwa wote (bila kujali kipato cha mzazi/mlezi) na sio mmoja mmoja. Shkamoo Mangi
View attachment 3182057
Halafu mnasema magari ya Ulaya mabovu kumbe hamna hela!Hiyo Lambo Murcielago bado ipo!??
View attachment 3182306
Chuma iliingia TZ kitambo, mtoto akiezaliwa inavyoingia Bongo sahivi yupo Chuo first year.
View attachment 3182307
Yes, uko sahihi. anaweza alikuwa nje ya nchi kimasomoUkitazama tu utaona huyo binti ni mkubwa ukilinganisha na watoto wanaobarikiwa miaka hii. Hapo lazima kuna sababu ya kipekee na sio kutokana na pesa za mzazi wake.
wauza uduvi, hatarini kuolewaTutafute hela hakuna kinachoshindikana.
Hii kauli nayo sijui aliwaza nnwauza uduvi, hatarini kuolewa
Mgiriki alisema serkali yote ya Mwl. Nyerere iko mfukoni mwake, na hapo sasa ndiyo ujue KKKT yote iko mfukoni mwa MangiJana nimeshangaa kuona ubarikio wa mtoto wa Bilionea Knyama KKKT peke yake tofauti na wenzetu huko Katoliki ambako ratiba ya komunio/kipaimara ni kwa wote (bila kujali kipato cha mzazi/mlezi) na sio mmoja mmoja. Shkamoo Mangi
Ni kukosa akili, mabilionea wako USA hawafanui huo upumbavu. Mosha ni bilionea wa Tsh bd ni maskini tuJana nimeshangaa kuona ubarikio wa mtoto wa Bilionea Knyama KKKT peke yake tofauti na wenzetu huko Katoliki ambako ratiba ya komunio/kipaimara ni kwa wote (bila kujali kipato cha mzazi/mlezi) na sio mmoja mmoja. Shkamoo Mangi
View attachment 3182057
Wachaga wanapenda sana sifa za kijinga. Yaani mpk kanisani? Ni kukosa maarifa na hekima. Nawasifu sana waislam. Hawana show off za kipumbavu km hizo. Ht makabila mengine kuna watu wana pesa, wachaga ni washamba snJana nimeshangaa kuona ubarikio wa mtoto wa Bilionea Knyama KKKT peke yake tofauti na wenzetu huko Katoliki ambako ratiba ya komunio/kipaimara ni kwa wote (bila kujali kipato cha mzazi/mlezi) na sio mmoja mmoja. Shkamoo Mangi
View attachment 3182057