Ven26
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 467
- 981
Kwa wachache saaana, tena kwa mapadre ambao nafikiri wameanza kukengeuka, ubatizo huwa unatangazwa kwa utaratibu wa pamoja kama ni msamaha, kama ni kwa mafunzo wanaandikishwa wanabatizwa kwa siku moja wote uwe tajiri, uwe masikini unabatizwa na wenzio labda hayo masherehe ndo myafanyie nyumbani.Sio kweli sema hujui tu hata huku katoliki mambo haya yapo. Tena kwa wakatoliki huo ubatizo unaweza ukafanyikia nyumbani kwa hiyo familia!
Ubatizo wa nyumbani labda wa wagonjwa na mpako wa wagonjwa.