Video: Ubarikio wa mtoto wa Bilionea Mosha

Kwako pia mkuu Monetary doctor
 
Cha kupendeza hapo ni utu.

Kama utajiri asiejua David Mosha ni tajiri alikuwa sayari nyingine.

Kama kuna mtu alikuwa hajui David Mosha anamiliki Lamborghini (ya zamani) asaidiwe.

Maybach ya Lugumi inanunua Lamborghini kama mbili hizo.

Muhimu hapo ni utu, kuipa ‘Le Mutuz’ tv exclusive ya tukio. Inakuonyesha kuna marafiki wanakuthamini hata ukiwa umezikwa.
 
Good!
Weka hata audio kabisa mkuu.
 
Jana nimeshangaa kuona ubarikio wa mtoto wa Bilionea Knyama KKKT peke yake tofauti na wenzetu huko Katoliki ambako ratiba ya komunio/kipaimara ni kwa wote (bila kujali kipato cha mzazi/mlezi) na sio mmoja mmoja. Shkamoo Mangi

View attachment 3182057
Sio kweli sema hujui tu hata huku katoliki mambo haya yapo. Tena kwa wakatoliki huo ubatizo unaweza ukafanyikia nyumbani kwa hiyo familia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…