Video: Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi Serikali za mitaa CCM, nchi yatikisika, watu wakanyagana

Video: Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi Serikali za mitaa CCM, nchi yatikisika, watu wakanyagana

Jamani mbona wanawatesa hawa watoto?Eti Baba na Mama Chagua CCM. Hebu wawawache watoto waenjoy utoto wao.
Instilling stupidity in young kids. Nimefurahi wapo watano, na wanaonekana ni wale wajingawajinga, wale ambao ukiwaambia kaa hapa, wala hawanyanyuki. Ni wazi pia wazazi wao wapo kule mbele wamekaa kwenye viti.
 
Mlisusia sasa mnatamani walau muitwe kwa hati maalumu ,kaeni huko huko muwe washangiliaji subulini 24 muone shangwe inch itasimama


State agent
Unaonaje kama hiyo pesa inayochezewa kwenye huo uchaguzi wa kipuuzi,ingetumika kununua dawa za Hospital, madawati & ect, ama kweli Tanzania ni nchi ambayo wananchi wake wanapenda Mambo ya kipumbavu
 
Salary Slip Erythrocyte britanicca Pascal Mayalla johnthebaptist Kawe Alumni mng'ato kifinga

CCM yangu nawa sihi... Tusije ingia ktk aibu nyingine, tusichakachue bokisi la msosi, chonde chonde tulizike na kura tutakazo zipata kwa maana tayari tumeshinda hata tukipata kura kumi tumeshinda kwa kishindo... Tusitake kuleta mabokisi yamejaa kura za kupika tuta aibika maana wapinzani wana observe pamoja na wageni wengine, ili waweze kutoa taarifa za uchafuzi ambao utakuwa doa...

Mtu ana weza kaa na kamera kujua idadi ya watu kuanzia asubuhi mpaka jioni na wakawa wamekuja kupiga kura ni kumi lakini tukataka hawa kumi wawe mia au 1000... Hii italeta mtafaluku

Nashauri CCM yangu tuongeze umakini ktk uchaguzi huu...

Hakukuwa na haja ya kufanya kampeni, tungefanya uhamasishaji tu wa wananchi na wanachama waweze kupiga kura...
 
Nchi ndio ishasimama hivyo, we angalia hiyo video vizuri tu utajifunza kitu.
Tatizo kichwani amejaza makamasi
1571388931373.jpeg
 
Back
Top Bottom