SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Nyomi ya kufa mtu,Watu wamejaa hadi wengine juu ya miti la! la! la! la!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyomi ya kufa mtu,Watu wamejaa hadi wengine juu ya miti la! la! la! la!
Hahah imebidi tu nicheke,huo muda wanaopoteza hapo hawana kazi nyengine ya kufanya?Mwenye macho haambiwi tazama
View attachment 1265547
Wana njaa mkuu bundle atoe wapi?akili zake aliyeanzisha huu uzi CCM mwenzake.Itakuwa umechangia base on heading![emoji23]
Itakuwa umechangia base on heading![emoji23]
Daaaaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1732][emoji1732][emoji1732] BALAAA yaaani NOMA bado nacheekaNimecheka mpaka watoto wameamka,video inaonesha nyomi lá kufa mtu
Nalog off
Kwi kwi kwi kwi kwiiiiiiWatu wamejaa hadi wengine juu ya miti la! la! la! la!
Jamani tuacheni masihara CCM inapendwa siyo kwa umati huu wa watuKwi kwi kwi kwi kwiiiiii
Hii nyomi haijapata kutokea
Jana ilikuwa siku ya ibada watanzania ni wacha Mungu sana , wengi walikuwa kanisani , tunatarajia leo umati utafumuka zaidi .Erythro, nilitaka kupita kimya kimya, maanake hizi mada za 'watani' ni ngumu kuzichangia; lakini nikawaza kabla sijaondoka.
Nikaona nisikose kukuchokoza.
Hivi mitaa ina wakazi wangapi? Huenda umati huo ndiyo 'nyomi' ya mtaa huo...au?
video umeiona mkuu?? usije kuwa unakunya barabarani ukafikili upo kwenye kichaka!Mlisusia sasa mnatamani walau muitwe kwa hati maalumu ,kaeni huko huko muwe washangiliaji subulini 24 muone shangwe inch itasimama
State agent
Kweli CCM imejaza watu wendawazimu. Mtu mwenye akili hata kidogo sana hawezi kufanya huu upuuzi.Mwenye macho haambiwi tazama
View attachment 1265547
Kweli kabisa. Wakisusa wengine twala. Tumezindua jana na ngoma haisimami hadi 24 kwenye kupiga kura.Mlisusia sasa mnatamani walau muitwe kwa hati maalumu ,kaeni huko huko muwe washangiliaji subulini 24 muone shangwe inch itasimama
State agent
Nyingine hii hapa
Viongozi watachaguliwa tu na watawaongoza hadi 2024!. Kujifaragua kwa nini?Kweli CCM imejaza watu wendawazimu. Mtu mwenye akili hata kidogo sana hawezi kufanya huu upuuzi.
Kweli kabisa. Wakisusa wengine twala. Tumezindua jana na ngoma haisimami hadi 24 kwenye kupiga kura.
Watachaguliwa viongozi utake usitake. Na watakuwa viongozi wako utake usitake!Mnapongezana ujinga hamuoni hata wanachama wenzenu wenye kujitambua wamesusia hizo kampeni feki zenu. Hata nyie ukweli mnaujua ila kwa vile mnazihitaji hizo bk7 ndiyo mnatupia huu ukahaba wenu humu
Njaa haina baunsaMnapongezana ujinga hamuoni hata wanachama wenzenu wenye kujitambua wamesusia hizo kampeni feki zenu. Hata nyie ukweli mnaujua ila kwa vile mnazihitaji hizo bk7 ndiyo mnatupia huu ukahaba wenu humu
Akili matope hizo.Watachaguliwa viongozi utake usitake. Na watakuwa viongozi wako utake usitake!