Video: Vijana kuweni serious. Kuna huyu Thobias Kahimba alianza kwa kuchoma CD kwa Tsh 100 hadi amekuwa Bilionea. Mnakwama wapi?

Kuna Siri kubwa sana nyuma ya mafanikio ya Hawa motivational speakers
 
Jichanganye
 
Haya maneno sio mageni Sana hapa mjini
 
Kwa ambae hajafanya biashara ndie ataamini si kweli ila ukweli Kuna wakati biashara zinaenda poa hadi unaona utajiri huu hapa
 
Huyo mjamaa hana sura hata ya umilionea. Yaani ulugaluga wake unaoneka wazi..hana nuru ya ubilionea. Nahisi utajiri wake ni ule wa masharti
 
First things first.

Inferiority complex yako kuhusu Kiingereza ni tatizo lako, si langu.

Hicho si Kiingereza complicated, ni cha kawaida, ukikiona complicated wewe ndiye mwenye tatizo Kiingereza cha kawaida unakiita complicated. Hilo ni tatizo lako, si langu.

Habari ya mtu, iliyotolewa na huyo mtu mwenyewe, bila kuwa na chanzo cha pili tofauti kinachoitoa hivyo hivyo, ni habari yenye low credibility.

Walioenda shule za uandishi wa habari wanaelewa hili jambo kuwa ni la wazi na msingi kabisa.

Waliojielimisha wenyewe kuhusu haya mambo wanaelewa hilo pia.

Tatizo wewe hujasoma haya mambo kwenye elimu rasmi wala hujajielimisha mwenyewe.

Na kila unavyopinga jambo la msingi kama hili, unazidi kuonesha utupu wako.

Kwamba wewe si mjinga tu, wewe ni mjinga mbishi.

Unaruhusiwa juwa mjinga, utaelinushwa. Unaruhusiwa juwa mbishi, labda utael8nisha watu.

Lakini.

Ukiwa mjinga, usiwe mbishi.
 
Wabongo hamuwezi kuongea kwa hoja dhahania, uwezo wenu wa abstract thinking ni mdogo sana.

Mimi simjui huyo jamaa. Wala simuongelei yeye.

Naongelea a general rule of news verificayion ambayo wewe sitaki shule unapaswa kujifunza.

Katika dunia ya leo ya fake news na kulishana matango pori sana, habari ya kutika chanzo kimoja, ya kuhusu hicho chanzo, ina low credibility.

Habari hiyo inatakiwa kuhakikiwa kwa kutolewa kwenye chanzo kingine.

Hii ni general rule, waandishi wa habari wanaielewa, wala si wivu kwa mtu fulani.

Sasa mimi nikisema habari ina low credibility kwa kuwa inetolewa na chanzo kimoja, tena mtu mwenyewe, unafikiaje hitimisho kuwa ni wivu?

Umeshindwa kujadili hoja za jifalsafa unakimbikia habari ya wivu kama mipasho ya taarabu?
 
kwahio mtu asipohojiwa navyombo vyahabari vingi kuhusu ubilionea wake unapatwa namashaka?unahisi sio kweli?

unadhani mabilionea wote hapa Tanzania unawajua?
 
Aka fight sana apo aya kwanza ndo msingi wa ubilionea,Ali fight nini na akiwa anacho cd ?
 
kwahio mtu asipohojiwa navyombo vyahabari vingi kuhusu ubilionea wake unapatwa namashaka?unahisi sio kweli?

unadhani mabilionea wote hapa Tanzania unawajua?
Wewe kwanza hata comprehensi9n level yako ni ndogo.

Hujui kusoma kwa ufahamu.

Wapi nimetaja vyombo vya habari vingi?

Unqjua kusoma kwa ufahamu wewe?
 
Wewe kwanza hata comprehensi9n level yako ni ndogo.

Hujui kusoma kwa ufahamu.

Wapi nimetaja vyombo vya habari vingi?

Unqjua kusoma kwa ufahamu wewe?
acha kuzuga mjinga wewe.kwani kuhusu kuhojiwa huyo bilionea si ilisema unataka uone akihojiwa na chombo zaidi yakimoja?

sasa hivi unajifanya siasa nyingi kumbe emty set
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…