Video: Vijana kuweni serious. Kuna huyu Thobias Kahimba alianza kwa kuchoma CD kwa Tsh 100 hadi amekuwa Bilionea. Mnakwama wapi?

Video: Vijana kuweni serious. Kuna huyu Thobias Kahimba alianza kwa kuchoma CD kwa Tsh 100 hadi amekuwa Bilionea. Mnakwama wapi?

Wakuu,

Kuna muda kama vijana inabidi muwe serious na maisha.

Kuna huyu kijana nimemuona huko Azam TV anasema alianza kwa kuchoma CD yaani nyimbo moja alikuwa anaweka kwa Tsh 100 aka-fight sana.

Anasema alikuwa kwa siku alikuwa anatumia 1000 mpaka 1500 tu kuna kipindi mpaka akaumwa vidonda vya tumbo.

Sasa hivi ni Bilionea mkubwa tu. Ana duka kubwa la hardware na anafanya mambo ya usafirishaji na ameajiri watu wengine 71

Sasa vijana mnakwama wapi kuwa kama huyu? Kuweni serious

Kuna Siri kubwa sana nyuma ya mafanikio ya Hawa motivational speakers
 
Wakuu,

Kuna muda kama vijana inabidi muwe serious na maisha.

Kuna huyu kijana nimemuona huko Azam TV anasema alianza kwa kuchoma CD yaani nyimbo moja alikuwa anaweka kwa Tsh 100 aka-fight sana.

Anasema alikuwa kwa siku alikuwa anatumia 1000 mpaka 1500 tu kuna kipindi mpaka akaumwa vidonda vya tumbo.

Sasa hivi ni Bilionea mkubwa tu. Ana duka kubwa la hardware na anafanya mambo ya usafirishaji na ameajiri watu wengine 71

Sasa vijana mnakwama wapi kuwa kama huyu? Kuweni serious

Jichanganye
 
Wakuu,

Kuna muda kama vijana inabidi muwe serious na maisha.

Kuna huyu kijana nimemuona huko Azam TV anasema alianza kwa kuchoma CD yaani nyimbo moja alikuwa anaweka kwa Tsh 100 aka-fight sana.

Anasema alikuwa kwa siku alikuwa anatumia 1000 mpaka 1500 tu kuna kipindi mpaka akaumwa vidonda vya tumbo.

Sasa hivi ni Bilionea mkubwa tu. Ana duka kubwa la hardware na anafanya mambo ya usafirishaji na ameajiri watu wengine 71

Sasa vijana mnakwama wapi kuwa kama huyu? Kuweni serious

Haya maneno sio mageni Sana hapa mjini
 
Vijana hawakubali kuamini kuna wanaoanza from scratch na kufanikiwa. Wanaamini kila aliefanikiwa kapitia njia za panya ambazo hasemi. Hii yote ni ku justify kuwa kufeli kwao ndio kawaida ya maisha.

Hata mimi nimechoka mbaya ila naamini wapo matajiri waliofanikiwa from scratch kwa juhudi na jasho lao sio njia za mkato. Nimefeli kwasababu kuba vitu nimekosea kwenye mapambano.
Ukikaa na waliofanikiwa utajiona ulikosea wapi. Sisi wengine hatuna muda wa kubadili ila vijana muda bado mnao badilikeni bado mna nafasi ya kutoaboa. Ila ukiamini huwezi kutoboa bila njia za mkato endelea tu tena unatakiwa utumie hizo njia ufanikiwe.
Kwa ambae hajafanya biashara ndie ataamini si kweli ila ukweli Kuna wakati biashara zinaenda poa hadi unaona utajiri huu hapa
 
Huyo mjamaa hana sura hata ya umilionea. Yaani ulugaluga wake unaoneka wazi..hana nuru ya ubilionea. Nahisi utajiri wake ni ule wa masharti
 
Mkuu kuandika kiingereza complicated cha darasani doesn't mean kwamba you're right, it just shows kwamba una ka-ushamba fulani na lugha ya kiingereza.

Inashangaza sana kumuona myu anayetaka ushahidi kila mara kuhusu mada za imani, leo anafanya 360 kwa kitu chepesi kama hiki.

Kwa hiyo mada ikiripotiwa na chanzo kimoja ndo inakosa credibility? Hiyo tip ya fact checking nani alikupa?

Kwa hiyo ITV, Clouds na TBC wangechukua the same news piece wakaipost kwao, ndo inakuwa credible?

Mbona ulikuwaga very logical mkuu, au umeingia UVCCM?
First things first.

Inferiority complex yako kuhusu Kiingereza ni tatizo lako, si langu.

Hicho si Kiingereza complicated, ni cha kawaida, ukikiona complicated wewe ndiye mwenye tatizo Kiingereza cha kawaida unakiita complicated. Hilo ni tatizo lako, si langu.

Habari ya mtu, iliyotolewa na huyo mtu mwenyewe, bila kuwa na chanzo cha pili tofauti kinachoitoa hivyo hivyo, ni habari yenye low credibility.

Walioenda shule za uandishi wa habari wanaelewa hili jambo kuwa ni la wazi na msingi kabisa.

Waliojielimisha wenyewe kuhusu haya mambo wanaelewa hilo pia.

Tatizo wewe hujasoma haya mambo kwenye elimu rasmi wala hujajielimisha mwenyewe.

Na kila unavyopinga jambo la msingi kama hili, unazidi kuonesha utupu wako.

Kwamba wewe si mjinga tu, wewe ni mjinga mbishi.

Unaruhusiwa juwa mjinga, utaelinushwa. Unaruhusiwa juwa mbishi, labda utael8nisha watu.

Lakini.

Ukiwa mjinga, usiwe mbishi.
 
acha wivu mzee.

huyo jamaa ni bilionea chipukizi watuwengi hatumjui zaidi yawanao mzunguka nakufanya nae kazi

pia kaa ukijua kua wapo mabilionea wakubwa kumzidi huyo mshkaji na huwajui kwasababu umezoea hadi uwaone kwenye vyombo vyahabari😕😕😕tena unataka uthibitishe kwenye vyombo vya habari tofauti tofauti kimoja hutaki🤣🤣🤣 mjinga wewe

wapowatu wana mawe na hawana shobo navyombo vyahabari wewe huwezi kuwajua kwasababu umezoea kuwaona mabilionea kwenye vyombo vyahabari

siku ukiona mabilionea wapya wakihojiwa kidogo kwenye vyombo hivyo kwakua huwafahamu unaanza kutoa mifano yamadawa yakulevya kumbe wenzako ni mahasla kitambo kingi na hawajawahi kuuza hata sigara🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪


JD msindikize kirangakoma na wimbo wa wivuuu mamaa wivu👉sicheki nawowote.

kiranga mwenye wivu anaupamba na kingereza kingi😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Wabongo hamuwezi kuongea kwa hoja dhahania, uwezo wenu wa abstract thinking ni mdogo sana.

Mimi simjui huyo jamaa. Wala simuongelei yeye.

Naongelea a general rule of news verificayion ambayo wewe sitaki shule unapaswa kujifunza.

Katika dunia ya leo ya fake news na kulishana matango pori sana, habari ya kutika chanzo kimoja, ya kuhusu hicho chanzo, ina low credibility.

Habari hiyo inatakiwa kuhakikiwa kwa kutolewa kwenye chanzo kingine.

Hii ni general rule, waandishi wa habari wanaielewa, wala si wivu kwa mtu fulani.

Sasa mimi nikisema habari ina low credibility kwa kuwa inetolewa na chanzo kimoja, tena mtu mwenyewe, unafikiaje hitimisho kuwa ni wivu?

Umeshindwa kujadili hoja za jifalsafa unakimbikia habari ya wivu kama mipasho ya taarabu?
 
Wabongo hamuwezi kuongea kwa hoja dhahania, uwezo wenu wa abstract thinking ni mdogo sana.

Mimi simjui huyo jamaa. Wala simuongelei yeye.

Naongelea a general rule of news verificayion ambayo wewe sitaki shule unapaswa kujifunza.

Katika dunia ya leo ya fake news na kulishana matango pori sana, habari ya kutika chanzo kimoja, ya kuhusu hicho chanzo, ina low credibility.

Habari hiyo inatakiwa kuhakikiwa kwa kutolewa kwenye chanzo kingine.

Hii ni general rule, waandishi wa habari wanaielewa, wala si wivu kwa mtu fulani.

Sasa mimi nikisema habari ina low credibility kwa kuwa inetolewa na chanzo kimoja, tena mtu mwenyewe, unafikiaje hitimisho kuwa ni wivu?

Umeshindwa kujadili hoja za jifalsafa unakimbikia habari ya wivu kama mipasho ya taarabu?
kwahio mtu asipohojiwa navyombo vyahabari vingi kuhusu ubilionea wake unapatwa namashaka?unahisi sio kweli?

unadhani mabilionea wote hapa Tanzania unawajua?
 
Aka fight sana apo aya kwanza ndo msingi wa ubilionea,Ali fight nini na akiwa anacho cd ?
 
kwahio mtu asipohojiwa navyombo vyahabari vingi kuhusu ubilionea wake unapatwa namashaka?unahisi sio kweli?

unadhani mabilionea wote hapa Tanzania unawajua?
Wewe kwanza hata comprehensi9n level yako ni ndogo.

Hujui kusoma kwa ufahamu.

Wapi nimetaja vyombo vya habari vingi?

Unqjua kusoma kwa ufahamu wewe?
 
Wewe kwanza hata comprehensi9n level yako ni ndogo.

Hujui kusoma kwa ufahamu.

Wapi nimetaja vyombo vya habari vingi?

Unqjua kusoma kwa ufahamu wewe?
acha kuzuga mjinga wewe.kwani kuhusu kuhojiwa huyo bilionea si ilisema unataka uone akihojiwa na chombo zaidi yakimoja?

sasa hivi unajifanya siasa nyingi kumbe emty set
 
Back
Top Bottom