Video: Vijana wakamatwa kwa uchawi

Video: Vijana wakamatwa kwa uchawi

So what is it?
Umasikini, ujinga na pengine maradhi.

Jamii zetu zina tamaduni za kutafuta majibu rahisirahisi kwenye maswali yanayotaka uchambuzi wa kina wa kutumia mantiki.

Mtu ataumwa kwa sababu jamii ni masikini, inakunywa maji machafu, watu wanaumwa na mbu wanaoambukiza magonjwa, jamii hazina vyoo safi na salama, haina chakula bora kinacholiwa kwa mpango.

Hapo utaona sababu za kuumwa nyingi sana, na ukipima watu utakuta minyoo, virusi, bacteria na madudu mengine kibao.

Halafu mtu akiumwa, kirahisi kabisa tunakimbilia kwa waganga wa kienyeji watuague kwa ramli. Tunajazwa ujinga kuwa hapa kuna ndugu yako kakutupia uchawi.

Badala ya kufanya blood tests, X-Rays etc tujue tatizo kisayansi, tunakimbilia habari za uchawi.

Huo mfano mmoja tu, kwingine kote hivyo hivyo. Ukishindwa maisha kwa sababu huna strategy, unakimbilia kusema umelogwa. Ukishindwa kwenye ndoa kwa sababu za umasikini na ujinga, unakimbilia kusema umezimiwa nyota.

Ni ujinga fulani hivi tumejazana na umekaa kiutamaduni kiasi kwamba unaweza kukuta mtu kasoma degree mbili au tatu za chuo kikuu, tena za sayansi, anajua medicine, anajua bacteria, anajua virusi, halafu bado anaenda kwenye uchawi, kwa waganga, kwa babu wa kikombe.

Ni ujinga na umasikini wa kiutamaduni. Huu kuuondoa vigumu sana maana ujinga dawa yake elimu. Lakini kwenye utamaduni hata elimu inapata shida sana.
 
Kama ulaya upo sembuse Africa.uchawi ni global
Nakwambia hivi, hakuna uchawi, huo ni ujinga na umasikini.

Ulaya uchawi ni hadithi za watoto na mambo ya movies.

Wenzako washaondoka kwenye uchawi huu wa abracadabra wanakutengenezea teknolojia kama hii ya internet tunawasiliana bila kuonana watu tuko mabara tofauti.

Wanachofanya ni zaidi ya uchawi, kwa nini unawadogosha kuwarudisha kwenye uchawi?

Yani kijana wa Ulaya ya leo anayeweza kufanikisha ndoto zake za kwenda Mars, kwa sayansi, bila kuhitaji uchawi, kwa nini ahangaike na uchawi?
 
Hii kama imetokea KANDA YA ZIWA sina deni nao hawa jamaa maana kwenye hii sekta wame-advance sana
 
Nakwambia hivi, hakuna uchawi, huo ni ujinga na umasikini.

Ulaya uchawi ni hadithi za watoto na mambo ya movies.

Wenzako washaondoka kwenye uchawi huu wa abracadabra wanakutengenezea teknolojia kama hii ya internet tunawasiliana bila kuonana watu tuko mabara tofauti.

Wanachofanya ni zaidi ya uchawi, kwa nini unawadogosha kuwarudisha kwenye uchawi?

Yani kijana wa Ulaya ya leo anayeweza kufanikisha ndoto zake za kwenda Mars, kwa sayansi, bila kuhitaji uchawi, kwa nini ahangaike na uchawi?
Kwani Whitecraft ni nini kama sio uchawi.
Sikuku za Halloween ni nini,wakutishe na kitu kisichokuwepo kwenye society iweje sasa,hayo makanisa ya wachawi yakiwemo freemasoni,hivyo vyuo na vitabu vya uchawi ulaya vina maana Gani.
kama Fbi,CIA,KGB nk kwenye operation zao ngumu wanatumia uchawi mfano kuingia sehemu na kupotea,nk.
Sema ulaya zaidi ni white magic,na Africa zaidi ni black magic uchawi WA level ya chini.
 
Kama wanachezea Hadi movies,wanasherekea sikukuu za wachawi,Wana vyuo vya uchawi,Wana nyumba za ibada za kichawi kwann tusiamini upo
Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote, cha uongo au ukweli.

Hiyo ni haki yako ya kikatiba na kiutu. Ni sehemu ya uhuru wa kuabudu na uhuru wa kujiamulia mambo.

Tatizo kuthibitisha.

Mkuu,

Unaijua story ya "Romeo and Juliet" ya Shakespeare?

Ina movies kibao, inafundishwa vyuoni, imekuwa kama dini fulani jinsi ilivyo kila sehemu.

Sasa, je, kwa kuwa story hiyo ya "Romeo and Juliet" imepata kiki hivyo, hilo linamaanisha hao "Romeo and Juliet" wapo au walikuwepo kweli?

Hapana.

Story inatuonesha tu kwamba William Shakespeare alikuwa mtunzi mahiri ambaye ameandika story inayofuatiliwa na watu mpaka leo. Story ime capture imaginations za watu.

Watu wana uwezo mkubwa sana wa kujitungia hadithi zika capture imagination.

God. The value of paper money. The corporation as an entity. The country. Uchawi.

That does not mean all these things are real.

That just means that we have a high abikity if crwating what Yuval Noah Harari calls "manufactured reality".

Uchawi haupo, ni stories watu wameungaunga tu.

Ukitaka kuamini kitu kwa sababu kipo kwenye movies sana na kinafundishwa kanisani utaamini uongo mwingi sana.
 
Umasikini, ujinga na pengine maradhi.

Jamii zetu zina tamaduni za kutafuta majibu rahisirahisi kwenye maswali yanayotaka uchambuzi wa kina wa kutumia mantiki.

Mtu ataumwa kwa sababu jamii ni masikini, inakunywa maji machafu, watu wanaumwa na mbu wanaoambukiza magonjwa, jamii hazina vyoo safi na salama, haina chakula bora kinacholiwa kwa mpango.

Hapo utaona sababu za kuumwa nyingi sana, na ukipima watu utakuta minyoo, virusi, bacteria na madudu mengine kibao.

Halafu mtu akiumwa, kirahisi kabisa tunakimbilia kwa waganga wa kienyeji watuague kwa ramli. Tunajazwa ujinga kuwa hapa kuna ndugu yako kakutupia uchawi.

Badala ya kufanya blood tests, X-Rays etc tujue tatizo kisayansi, tunakimbilia habari za uchawi.

Huo mfano mmoja tu, kwingine kote hivyo hivyo. Ukishindwa maisha kwa sababu huna strategy, unakimbilia kusema umelogwa. Ukishindwa kwenye ndoa kwa sababu za umasikini na ujinga, unakimbilia kusema umezimiwa nyota.

Ni ujinga fulani hivi tumejazana na umekaa kiutamaduni kiasi kwamba unaweza kukuta mtu kasoma degree mbili au tatu za chuo kikuu, tena za sayansi, anajua medicine, anajua bacteria, anajua virusi, halafu bado anaenda kwenye uchawi, kwa waganga, kwa babu wa kikombe.

Ni ujinga na umasikini wa kiutamaduni. Huu kuuondoa vigumu sana maana ujinga dawa yake elimu. Lakini kwenye utamaduni hata elimu inapata shida sana.
Wachache sana watakuelewa
 
Kwani Whitecraft ni nini kama sio uchawi.
Sikuku za Halloween ni nini,wakutishe na kitu kisichokuwepo kwenye society iweje sasa,hayo makanisa ya wachawi yakiwemo freemasoni,hivyo vyuo na vitabu vya uchawi ulaya vina maana Gani.
kama Fbi,CIA,KGB nk kwenye operation zao ngumu wanatumia uchawi mfano kuingia sehemu na kupotea,nk.
Sema ulaya zaidi ni white magic,na Africa zaidi ni black magic uchawi WA level ya chini.
Mkuu,

Tuanze na Halloween.

Nikitunga sikukuu ikakubalika na wengi kama sikukuu, hata watu wanaotaka kusheherekea chochote tu kujiondolea uchovu wa kazi za kila siku, basi hilo linamaanisha sikukuu hiyo inawakilisha jambo la kweli?

Huoni kuwa hapo umefanya logical fallacy ya appeal from popularity ukaiunganisha na logical fallacy ya non sequitur?

Yani umeunganisha logical fallacy angalau mbili kwa pamoja ukapata double decker fallacious argument.

Unaelewa hilo?
 
🔹Polisi huwa wanaongizwa Sana mkenge na hao matapeli ambao unakuta wamekwisha kula Dili na waganga tapeli wanajifanya ni wachawi wamenasa halafu anajitokeza tapeli huyo kujifanya yeye ndio kawatega na dawa zake na kuwanasua ili baadaye apate wateja wajinga waliokuwa obsessed na Imani za kishirikina.

🔹 Mkoa wa pwani Kuna kuliko mmoja alikula Dili na mganga feki akazuga akiba mzigo imegoma kushushwa akapelekwa mpaka polisi lakini baadaye ilikuja kugundulika ni magumashi

View: https://youtu.be/mjWCCRqXsis?si=EyH_Ieoycs0bYRS_

🔹 Kule Mwanza wakati zumaridi anaanza mazingaumbwe aliwahi kuwsleta vijana kutoka Kigoma na kuwaweka juu ya paa la kanisa lake na ukijifanya wamedondoka hapo na ungo kutokana na maombi.

View: https://youtu.be/GmpTjDxEF48?si=dftKscnPsT0KHKbi
🔹Iringa ,mbeya na Dar vituko kama hivyo ni vingi. Vyote vipo staged na Kuna mtu yupo nyuma yake ili kutangaza biashara ya kitapeli. Hapo wanakuwa wameshalipana, wsnaespakaa madizi au chokaa , kuvaa kaniki na kubeba ungo ,pembe na vibuyu ila ukimwbia aruke anazuga nguvu zimeisha. Umagumashi mtupu
 
Umasikini, ujinga na pengine maradhi.

Jamii zetu zina tamaduni za kutafuta majibu rahisirahisi kwenye maswali yanayotaka uchambuzi wa kina wa kutumia mantiki.

Mtu ataumwa kwa sababu jamii ni masikini, inakunywa maji machafu, watu wanaumwa na mbu wanaoambukiza magonjwa, jamii hazina vyoo safi na salama, haina chakula bora kinacholiwa kwa mpango.

Hapo utaona sababu za kuumwa nyingi sana, na ukipima watu utakuta minyoo, virusi, bacteria na madudu mengine kibao.

Halafu mtu akiumwa, kirahisi kabisa tunakimbilia kwa waganga wa kienyeji watuague kwa ramli. Tunajazwa ujinga kuwa hapa kuna ndugu yako kakutupia uchawi.

Badala ya kufanya blood tests, X-Rays etc tujue tatizo kisayansi, tunakimbilia habari za uchawi.

Huo mfano mmoja tu, kwingine kote hivyo hivyo. Ukishindwa maisha kwa sababu huna strategy, unakimbilia kusema umelogwa. Ukishindwa kwenye ndoa kwa sababu za umasikini na ujinga, unakimbilia kusema umezimiwa nyota.

Ni ujinga fulani hivi tumejazana na umekaa kiutamaduni kiasi kwamba unaweza kukuta mtu kasoma degree mbili au tatu za chuo kikuu, tena za sayansi, anajua medicine, anajua bacteria, anajua virusi, halafu bado anaenda kwenye uchawi, kwa waganga, kwa babu wa kikombe.

Ni ujinga na umasikini wa kiutamaduni. Huu kuuondoa vigumu sana maana ujinga dawa yake elimu. Lakini kwenye utamaduni hata elimu inapata shida sana.
Tueleze kwa kifupi hicho kwenye video ni nini?? Ukiachana na haya maelezo yote chief
 
Back
Top Bottom