Video: Vituko vya 'Mfalme Zumaridi', amchumu mwandishi Mahakamani

Serikali ifanye mpango huyu mfalme na nabii tito waoane. Mtanishukuru baadae
Serikali kumkata ni sawa maana sasa hv binadamu wengi wamekuwa wa ajabu ajabu, maana bila kuchukua hatua yawezekana wakatengenezwa mazombi ya hatari katika taifa.
 
You know, nikimwangalia huyu dada, nimekuwa nikikasirika mno. jana usiku nilihisi kama sauti inaniambia nifungue mstarif ulani,nikakutana na mstari unaosema "kitu gani kitatutenga na upendo wa Mungu katika Kristo Yesu?"yaani,sio njaa, sio dhambi, sio raha, sio gereza, sio vita, sio chochote kile, katika mazingira yeyote yale niliyopo hakuna kitu kitatutenga na upendo wa Mungu. pamoja na madhambi yetu yooote, namna tunavyomkera na kumuuzi, kumsaliti n.k, yeye bado anatupenda. kwasababu ya Kristo Yesu , Mungu huwa anafumba macho asione dhambi zetu aone Damu ya Yesu. its only because of Jesus Christ God can spare us, hasira yake bila Yesu ni kali mno kwetu lakini kwa njia ya Yesu Kristo, upendo wa Mungu upo kwetu hata kwa huyu dada. though sio tiketi ya kutenda dhambi lakini kiuhalisia as long as unao uhai unao uwezo kuongea na Mungu ukaamua kurudi, Mungu anakupokea, Mungu anasubiri urudi hata leo. ila kuna siku utakuwa huna hata uwezo kuinua ulimi kuongea na Mungu hapo ndipo utajua kuwa ulipoteza opportunity. God loves us all kwa condition ya Yesu Kristo.
 
Hebu tafakari, kama yeye ni mwehu hivyo, hao waumini wake ni machizi kiasi gani mpaka wamemuamini yeye awe mkuu wao?
 
Mwenye maisha mazuri kwenye kizazi hiki anakubalika sana na haijalishi hata kama utajiri wake una makando kando kiasi gani,
 
Hawa wenye vituko wawe wanaachwa tu kama vituko vyao havina madhara kwa jamii, huu mtindo wa kamatakamata na kushitaki mahamani ipo siku polisi watakamata na kushitaki wendawazimu mahakamani halafu polisi wenyewe ndio wataonekana kituko
Wapi nabii tito..?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mfalme 'MUNGU' Zumaridi, sikuwahi kumsikia mpaka nilipoona ma zombie yake yakiwatoa jasho polisi, kumbe ni mkali wa kusakata sebene na mambo mengine mengi mazuri.
Aachiwe tu, na sasa atapata 'followers' wengi zaidi.
Mungu flani, mfalme flani wa kike. Strange world.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
Mkuu usicheke, sentensi inayofuata haitokufurahisha...
Hivi kuna aliekula vitasa vingi kumshinda Yesu wa Nazareti? Lakini mamilioni kwa mamilioni ya binadamu wanaamini ni Mungu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepiga kwenye mshono. Hahahah
 
This bitch is Crazy! She needs a Dr,she is mental I'll/imbalanced!She needs help!
 
Hapo maana yake kichwa kama senene[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Katika hili kuna jambo la mtu pale.mpaka uwindwe kiasi kile?wakufanye kama jambazi
Lazima anaonyeshewa na mtu flan!!!
 
Uyu mama ana ushirikina flani na anawaza ngono tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…