youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
Na huu ni mwanzo tu ndo kwanza tuko mwaka wa pili awamu ya kwanza ya mkulu tuna miaka nane bado tutasikia mengi
Me yangu macho
Me yangu macho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo ndugu,Ni kweli mkuu Times fm online sema hawakuitupia ningeweka hapo
Utakuja kuelewa ikifika 2025 mara paaaap Magu huyu apaMiaka nane ki vip?
Utakuja kuelewa ikifika 2025 mara paaaap Magu huyu apa
MBABU KAMA UNA NO. YAKE NI. PM NIMPE DILI LA MAANA HUKO MAJUUU.. SERIOUS......WENGI WAMEFUFAIKA NA HII FURSA..Video vixen ambaye pia ni Muigizaji katika kiwanda cha Filamu Bongo, Kidoa Salum, amedai kamwe hawezi kuisahau video ya Rapa na Mbunge Profesa Jay TatuChafu kwani pamoja na kuuza nyago vya kutosha alilipwa shilingi 5000 (Elfu Tano) pekee na Mbunge huyo wa Mikumi.
Kidoa ameiambia Bongo.Home ya Times Fm kuwa, si Yeye pekee bali warembo wote walioonekana kwenye kichupa hicho walilamba 'Buku tano tano'.
Katika Hatua nyingine Mlimbwende huyo mwenye tuzo ya Urembo ya Gazeti la Ijumaa, amedai akitokea mtu yeyote ambaye ataamua kuweka Dau la shilingi Milioni 100 mezani, Yupo tayari kupiga 'Picha za Utupu' na kuziweka mbele ya 'Kadamnasi'.
View attachment 610404
Nyingi sana hiyo,anazuga tu huyo hata mill 2 anaweza kupiga, halafu atasingizia wamehaki simu yangu, shame on them