princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Kwa uchi gani sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeona mkuu hawa akina dada wa kibongo hakuna kitu kabisaNyingi sana hiyo,
Hata Kilo 1 ukimsaundisha vizuri anapiga,
Kaza vime vyuma siku hizi
Eti ule alio nao..!!!!!!!!!!!!Kwa uchi gani sasa?
Video vixen ambaye pia ni Muigizaji katika kiwanda cha Filamu Bongo, Kidoa Salum, amedai kamwe hawezi kuisahau video ya Rapa na Mbunge Profesa Jay TatuChafu kwani pamoja na kuuza nyago vya kutosha alilipwa shilingi 5000 (Elfu Tano) pekee na Mbunge huyo wa Mikumi.
Kidoa ameiambia Bongo.Home ya Times Fm kuwa, si Yeye pekee bali warembo wote walioonekana kwenye kichupa hicho walilamba 'Buku tano tano'.
Katika Hatua nyingine Mlimbwende huyo mwenye tuzo ya Urembo ya Gazeti la Ijumaa, amedai akitokea mtu yeyote ambaye ataamua kuweka Dau la shilingi Milioni 100 mezani, Yupo tayari kupiga 'Picha za Utupu' na kuziweka mbele ya 'Kadamnasi'.
View attachment 610404
Kweli kilikuja na meli yani...If a girl is beauty without brain, her secret parts of the body suffer the most. - Robert Mugabe
Lugha ya malkia iyo mzeyaaIf a girl is beauty without brain, her secret parts of the body suffer the most. - Robert Mugabe
Yote hiyo, laki 5 tu tunauona uchi mubasharaanazuga tu huyo hata mill 2 anaweza kupiga, halafu atasingizia wamehaki simu yangu, shame on them
mwache ajifurahishe tu wakati hajawahi ishika hata ukijumlisha hela zote alizoshika toka kazaliwa hazifikii 100milMkuu million 100 ni kubwa tuache masikhara
Yaani 100,000,000/=
Hiyo ina laki moja kama 1000 hivi
Hiyo ina elfi kumi kama 1,000,000 hivi halafu unasema ndogo kweli?
Hata bure inawezekana anatoa akikutana na mla bata tajiri wa maneno.Ukishakuwa na akili ya kuuza heshima yako basi wewe ni mtu wakudharauliwa sana na hiyo million 100 kaitaja tu mbele ya camera lakini huyo anauza hata kwa elfu 10, apo alikuwa anatuambia yeye anajiuza lakini ukitaka na wengine waone ndio hyo mil.100