Video vixen Kidoa yuko tayari kupiga picha za utupu kwa dau Milioni 100

Video vixen Kidoa yuko tayari kupiga picha za utupu kwa dau Milioni 100

Anafikiria milion 100 ni bonge ya pesa [emoji23][emoji23]
Kwake lazima aone bonge ya pesa maana kama ameuza sura kwenye video ya msanii maarufu halaf akaishia kulipwa buku 5 😅
 
Video vixen ambaye pia ni Muigizaji katika kiwanda cha Filamu Bongo, Kidoa Salum, amedai kamwe hawezi kuisahau video ya Rapa na Mbunge Profesa Jay TatuChafu kwani pamoja na kuuza nyago vya kutosha alilipwa shilingi 5000 (Elfu Tano) pekee na Mbunge huyo wa Mikumi.

Kidoa ameiambia Bongo.Home ya Times Fm kuwa, si Yeye pekee bali warembo wote walioonekana kwenye kichupa hicho walilamba 'Buku tano tano'.

Katika Hatua nyingine Mlimbwende huyo mwenye tuzo ya Urembo ya Gazeti la Ijumaa, amedai akitokea mtu yeyote ambaye ataamua kuweka Dau la shilingi Milioni 100 mezani, Yupo tayari kupiga 'Picha za Utupu' na kuziweka mbele ya 'Kadamnasi'.
View attachment 610404
Ruksa lakini vipi ukiwa na watoto wa kiume?
 
Huyo nilimtongoza.
Nilikosa mpunga tu lakin huhitaji kuwa na pesa nyingi[emoji16][emoji16]
She z very polite but longing for what z in your wallet.
 
Bado hajapiga tu? Mwambieni afanye haraka kabla hajawa ajuza
 
Watu kweli tumesahau kuwa kuna Muumba. Yaani mtu machafu yote anayofanya gizani anaona hayatoshi sasa anataka afanye machafu ya hadharani! Innalillahi wainna ilayhi rajiuun. Msiba huu [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Lazima akupe hati miliki. Ikiwa Prof J alimpa buku 5 na hajaisahau hadi leo, Je, ameongeza nini hapo kikaipandisha bei?? Nadhani amesema buku mkakosea. Hajui kuwa kila siku ikipita anashuka bei?? Linganisha na tangu Prof. J amuone kuwa thamani yake ni buku 5 na leo.
 
Mtu atoe m100 kwa ajili ya vitu vya kipumbavu,uchi wake una nini cha kutolewa hela zote hizo
 
Video vixen ambaye pia ni Muigizaji katika kiwanda cha Filamu Bongo, Kidoa Salum, amedai kamwe hawezi kuisahau video ya Rapa na Mbunge Profesa Jay TatuChafu kwani pamoja na kuuza nyago vya kutosha alilipwa shilingi 5000 (Elfu Tano) pekee na Mbunge huyo wa Mikumi.

Kidoa ameiambia Bongo.Home ya Times Fm kuwa, si Yeye pekee bali warembo wote walioonekana kwenye kichupa hicho walilamba 'Buku tano tano'.

Katika Hatua nyingine Mlimbwende huyo mwenye tuzo ya Urembo ya Gazeti la Ijumaa, amedai akitokea mtu yeyote ambaye ataamua kuweka Dau la shilingi Milioni 100 mezani, Yupo tayari kupiga 'Picha za Utupu' na kuziweka mbele ya 'Kadamnasi'.
View attachment 610404
Mpaka hapo yupo uchi tu. Halafu wa kawaida sana atadubiri hata lki hapati.
 
Back
Top Bottom