Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Nawapongeza raia, walitakiwa wamfundishe adabu. Kukamata watu kama panzi ifike mwishoSAFI SANA.WANAVUNA WALICHOKIPANDA
Naomab kurudia tena , we are not that special, they are not that special. Soon watagunduaManeno ya Mzee Warioba watu wengine wanayachukulia poa tu lakini yana uzito mkubwa sana.
Tunajiona tuko special sana kwamba hii erosion of trust and national unity haiwezi kutuharibia nchi, we are not that special.
Polisi ni waadilifu sana hawana hizo mbanga ni vile tu wamepakwa sana matope na hawana time ya kujiteteaNdivyo inavyotakiwa....tunapokataa matukio ya kutekana sio kwamba tunatetea uharifu.
Waharifu wataendelea kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa yao.
Hii ya kutekana ilitaka kuchukuliwa kama Loop Hole ya waharifu wa kwenye system.
Wanakulilua risasi wanaenda kulipoti kwamba ulitaka kupindua nchi. Imeisha hiyo
Polisi wa wapi hao? I agree kuna wale mema wapo, kazi zimenyooka na utendaji umetukuka. Halaf kuna wale wahuni, wao ni misconducts tu, ndio hao wanakosana na watu dailyPolisi ni waadilifu sana hawana hizo mbanga ni vile tu wamepakwa sana matope na hawana time ya kujitetea
Mbuyu ulianza kama mchicha!Wakuu,
Huko Kinondoni kumetokea zogo na vurugu mtaani baada ya raia kugoma mwenzao kuondoka na mtu aliyejitambulisha kama afisa wa Jeshi La Polisi Ukonga.
Katika video hiyo, mwanaume mmoja alijitambulisha kama Polisi alikuwa akitaka kumchukua kijana mmoja kinyemela.
Wananchi baada ya kuona tukio hilo, walimzingira Polisi huyo na kuanza kumuuliza maswali mbalimbali ikiwemo kwanini hajavaa nguo za kiaskari, kwanini hana gari la Polisi, kama yeye ni Polisi kutoka Ukonga kwanini anakuja Kinondoni kukamata?
Tukio hili linakuja siku chache tangu afisa mmoja wa TRA kupigwa mpaka kufa wakati anajaribu kumkamata raia wa kawaida bila kufuata utaratibu.
Ndio kusema kwamba watanzania wameanza kuamka?
View attachment 3173103
View attachment 3173105