Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yaan ujue sis watz yamkin kuna mahali tumerogwa sio bure.Tunajiona kama nchi pekee yenye vyombo vya usalama,nakwamva nchi ambazo znamachafuko hazina jeshi,polisi wala secret services au pengne wananch wao hawana akili Ndo maana unakuta washabiki wa vyama na baadhi ya viongoz hawaoni kama haya matukio yanaweza kuzaa kitu ambacho kitatushangaza.Naomab kurudia tena , we are not that special, they are not that special. Soon watagundua
Kama watanzania tutaendelea hivi basi maendeleo tutayaona maana watz 5w +h question hatunagaWakuu,
Huko Kinondoni kumetokea zogo na vurugu mtaani baada ya raia kugoma mwenzao kuondoka na mtu aliyejitambulisha kama afisa wa Jeshi La Polisi Ukonga.
Katika video hiyo, mwanaume mmoja alijitambulisha kama Polisi alikuwa akitaka kumchukua kijana mmoja kinyemela.
Wananchi baada ya kuona tukio hilo, walimzingira Polisi huyo na kuanza kumuuliza maswali mbalimbali ikiwemo kwanini hajavaa nguo za kiaskari, kwanini hana gari la Polisi, kama yeye ni Polisi kutoka Ukonga kwanini anakuja Kinondoni kukamata?
Tukio hili linakuja siku chache tangu afisa mmoja wa TRA kupigwa mpaka kufa wakati anajaribu kumkamata raia wa kawaida bila kufuata utaratibu.
Ndio kusema kwamba watanzania wameanza kuamka?
View attachment 3173103
View attachment 3173105
Mazuri kwa wakati tulionao ni ishara ya kuwaamsha walio amua kuwa watekaji badala ya kusimamia usalama,uhuru na haki kwa waajiri wao /raiaHaya sio mambo mazuri hata kidogo.
Katiba mpya tu ndiyo kimbilioCcm ikitaka itolewe madarakani ni kwa kuendelea kutumia vibaya Jeshi la Polisi. Maana hizi shida ndogondogo za kila siku zitapelekea wananchi kuwaona askari wa kawaida anaweza akavimbiwa tuu na asifanye chochote, sasa siku yanatokea maandamano polisi wanajikuta hawana nguvu tena
Kwanini waliojipa malmaka wameshindwa japo kutumia mamlaka wanayojipa kuwahudumia waliojikabidhi mamlaka juu yao?Itafika mahala wahalifu halisi watatumia huu mwanya