NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Ni nafuu na sisi Tanzania wenyechangamoto ndogo ya tume huru kuliko Kenya wenye siasa za ukabila.Acha maneno mengi, alichokisema huyo jamaa ni sahihi au sio sahihi? Shame
Unafahamu kuwa hata mamba anaweza kuuliwa ndani ya mto ijapokuwa nguvu ya mamba ni maji?Sawa bwashee.
wadau wakuu wa mabadiliko ya tume ni vyama vyote vya siasa.lakini cha kushangaza hawaonyeshi kuitaka tume huru kwa mapana mpaka uchaguzi ukaribie ndo unaona madai ya tume huru tena sio kwamsisitizo.
Hii inaonyesha kabisa kwa nchi yetu vyama pinzani havionyeshi nia ya dhati kutaka tumehuru ndo maana wanashiriki uchaguzi bila tume huru.
Pale Kenya sasa hivi ni kama hamna mkubwa! Kila mtu ni kambare! Wamejaa ukabila, hayo ndio waliyoendelea hakuna kingine.
Fikiria uchaguzi bado miaka 2 lakini ofisi ya rais Kenyata ina mgogoro wa kugombea madaraka ya 2022
Magufuli anatukana tu wale wenye tume yao maana wamepigwa chenga ya mwili na walimuhakikishia mwamba atanasa kwenye mtego. Sa sijui itakuwaje! Patamu hapo!Wakenya wana matatizo mengi na Magufuli kawanyoosha ni vema wakachambua uchaguzi wa marekani maana wao ndio vibaraka wao afrika ya Tanzania hayawahusu
Hamia huko kama unapaona pazuriTanzania kuna matatizo mengi ya kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani unyanyasaji uonevu uovu mwingi kuliko kenya
kwahiyo unataka kwakuwa Rais ni Magufuli msukuma hivyo wasukuma wasipewe kazi yoyote serikalini hata kama wanasifa, vigezo na uwezo?Siyo wivu. Hatutaki ukabira tz
Sio kweli kaka yangu Tanzania hakuna ukabila huo ni uwongo unatungwa kuchafua viongozi
Mimi sina chama
Waambieni juzi tu Ruto kapigwa mabomu kanisani! Vijana wa Uhuru wanapigana na wenzao wa Rutto! Tatizo mambo ya kuiga ya beberu! Na korona hewa inawatafuna!Hawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.
Huyo jamaa ni wa karne hii lakini fikra zake ni za karne ya nyumba. Si akili wala maarifa wala ufahamu kwake hivyo havijakuwa. Vimegotea hukoo! Ashakum si matusi! Hoja zake, kauli zake na vitendo vyake vimeshamiri ujinga kwa sababu vitatu kwake viligote nyuma (akili, maarifa na ufahamu). Matokeo yake anafanya mambo ya kishamba.Tokea mwaka 1961 Tume za uchaguzi zilikuwa za CCM lakini kipindi cha mwinyi, mkapa, kikwete, Tume zilificha makucha udhaifu wao ingawa wanajulikana kuibeba CCM lakini walifanya kwa usiri mkubwa underground, mwaka 2020 Tumeccm ya mtukufu magufuli hawana Aibu hawaogopi wameamua kupiga kampeni waziwazi pasipo Kumuogopa mungu wala kujali haki za wapiga kura, ndiyo maana tunasema Tumeccm ya sasa ni Tume ya kishamba na kishetani.
Kwani yy kosa lake nini huyo jamaa kwahiyo unataka kubishaa kama tume na wakurugenzi hawakuteuliwa na magufuliSiasa za Kenya ni za ubaguzi wa kikabila.
Kenya wapambane kwanza waondoe hili kabla ya wao kukosoa wengine.
Tufikiri kwa ndani zaidi. Kweli tunadhani kuwa tume ya uchaguzi iliyoteuliwa na mmoja wa mgombea inaweza kuwa huru? Inaweza kumtangaza mgombea mwingine kuwa mshindi hata kama kashinda kihalali? Inaweza isimbebe kweli anayewalipa mshara?
Kama chadema na Lissu wanafikiri kutendewa haki na tume, wanastahili Pole. Inabidi wajiandae kisaikolojia kushinda na kunyanganywa ushindi. Ni vema kuandaa mazingira ya hilo. Sina sababu yoyote kuiamini tume hata chembe. Bila nguvu ya umma hakuna jawabu.
Msaada. Natumia app ya JF lakini hizi attachment hazikubali kufunguka, napewe plz wait kama vile ndo naifungua JF app.Hawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.
Wapo CCM wenye akili timamu hawapendi tabia ya mtukufu mwenyekiti wa CCM na polepole lakini wanaogopa kumkosoa kwa hofu ya kuvuliwa uanachama wa CCM kisha kubambikiwa kesi ya uhujumu uchumi.Huyo jamaa ni wa karne hii lakini fikra zake ni za karne ya nyumba. Si akili wala maarifa wala ufahamu kwake hivyo havijakuwa. Vimegotea hukoo! Ashakum si matusi! Hoja zake, kauli zake na vitendo vyake vimeshamiri ujinga kwa sababu vitatu kwake viligote nyuma (akili, maarifa na ufahamu). Matokeo yake anafanya mambo ya kishamba.
Kuna kauli inasema "..ujinga unaporomosha jengo kwa muda mfupi tu lilijengwa kwa karne.."
Sasa ujinga umeongezekewa na ushamba athari yake ni maafa tu.
Nadhani baada ya matokeo haya tunanafasi kubwa sana ya kulazimisha mabadiliko ya namna tume inavyopatikani.Tufikiri kwa ndani zaidi. Kweli tunadhani kuwa tume ya uchaguzi iliyoteuliwa na mmoja wa mgombea inaweza kuwa huru? Inaweza kumtangaza mgombea mwingine kuwa mshindi hata kama kashinda kihalali? Inaweza isimbebe kweli anayewalipa mshara?
Kama chadema na Lissu wanafikiri kutendewa haki na tume, wanastahili Pole. Inabidi wajiandae kisaikolojia kushinda na kunyanganywa ushindi. Ni vema kuandaa mazingira ya hilo. Sina sababu yoyote kuiamini tume hata chembe. Bila nguvu ya umma hakuna jawabu.
Siyo baada ya matokeo kwani tayari Tumeccm wanayo matokeo mifukoni wanatembea nayo saa 24, watanzania wapige kura wasipige kura Tumeccm wanayo matokeo ya kumtangaza mshindi ni mtukufu mwenyekiti wa CCM ni bora kuikataa hii Tume ya kishetani sasa kabla hawajaleta machafuko na ikibidi mkurugenziccm wa Tumeccm afikishwe ICC kwa kuonyesha upendeleo kwa CCM kuashiria uvunjifu wa Amani tarehe 28 OctoberNadhani baada ya matokeo haya tunanafasi kubwa sana ya kulazimisha mabadiliko ya namna tume inavyopatikani.
Tusidanganyane, ukabila uko popote hata Marekani, kinachotofautiana ni viwango tu. Angalia hii awamu ilivyojaa ukabila.Siasa za Kenya ni za ubaguzi wa kikabila.
Kenya wapambane kwanza waondoe hili kabla ya wao kukosoa wengine.
"Hoja hapa ni tume ya uchaguzi. Kwamba watendaji wanateuliwa na Rais ambaye pia ni Mgombea wa nafasi hiyo. JADILI. Is it fair or not?!"Pale Kenya sasa hivi ni kama hamna mkubwa! Kila mtu ni kambare! Wamejaa ukabila, hayo ndio waliyoendelea hakuna kingine.
Fikiria uchaguzi bado miaka 2 lakini ofisi ya rais Kenyata ina mgogoro wa kugombea madaraka ya 2022
Katiba ipi? Katiba mbovu au katiba ile ile inayolalamikiwa? Mbona Tume za mwinyi mkapa Kikwete hazikuwahi lalamikiwa kama hiyo Tumeccm ya mtukufu magufuli?Katibu imempa mamlaka ya uteuzi JPM.
unalingine bwashee?