Kenya hakuna kumbambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani wala kuwaonea wafanyabiashara wakubwa hakuna usumbufu kwa watumishi wa umma kukosa nyongeza za mishahara kwa mda wa miaka mitanoTusidanganyane, ukabila uko popote hata Marekani, kinachotofautiana ni viwango tu. Angalia hii awamu ilivyojaa ukabila.
Kuwasema wakenya saana ni kuwaonea tu na ni unafiki tu.
Unauhakika tume hizo zilizopita hazikuwai kulalamikiwa bwashee?Katiba ipi? Katiba mbovu au katiba ile ile inayolalamikiwa? Mbona Tume za mwinyi mkapa Kikwete hazikuwahi lalamikiwa kama hiyo Tumeccm ya mtukufu magufuli?
Tanzania atuna ukabila hatachembe mkuu.Tusidanganyane, ukabila uko popote hata Marekani, kinachotofautiana ni viwango tu. Angalia hii awamu ilivyojaa ukabila.
Kuwasema wakenya saana ni kuwaonea tu na ni unafiki tu.
Basi unataka kutuaminisha kuwa Tanzania hakuna binadamu kitu ambacho sio kweli kabisa.Tanzania atuna ukabila hatachembe mkuu.
Umeambiwa hivi " Je ni sawa kwa mgombea kuiteua tume itakayosimamia uchaguzi ambao naye anashiriki?Kenya maelfu kwa maelfu wanauliwa kila uchwao, hao watatu wa kwetu kama ni kweli Mungu awarehemu kila pumzi ina thamani, isitoshe hao Wakenya wako kila anayeshindwa Uchaguzi anaikataa Tume ambayo wanasema iko huru, Raila mpka leo hajakubali kama alishindwa kihalali anasema aliibiwa kura na ,, Tume huru'' haikumtangaza alienda kuapishwa ingawaje alishindwa Uchaguzi sasa wanatuambia nini?
Ukweli kwa Nani?! Ukweli kwa shetani au kwa Mungu?!CCM hawapendi kusikia haya. Wataanza kuwashambulia Wakenya kwa kueleza ukweli.
Kwa nini unaiga vitu vya kipumbavu? Kwa mini usiige demokrasia nzuri iliopo kenyaWaambieni juzi tu Ruto kapigwa mabomu kanisani! Vijana wa Uhuru wanapigana na wenzao wa Rutto! Tatizo mambo ya kuiga ya beberu! Na korona hewa inawatafuna!
Njia ya haraka ni kumfikisha IGP na mkurugenziccm wa Tumeccm kwenye mahakama ya ICC The Hague haraka kwa kutengeneza viashiria vya uvunjifu wa Amani hapo Duniani kote watapiga kelele Tumeccm haramu itavunjwa na kuundwa Tume huru isiyo ya kishetani kama sasaBwashee kwani kudai tume huru ni mpaka maandamano,akuna njia nyingine?
Naomba mfanoNimesoma kaka ile katiba ya kenya imejaa ubaguzi wa kabila
Mungu ibariki KenyaHawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.
Unapoleta habari kama hii toka Kenya, naelewa tu kwamba uelewa wako ni mdogo. Yaani Kenya itufundishe nini? Umesema ni wachambuzi, wewe unasemaje? Tunatafuta uelewa siyo copy-paste ya yanayotokea Kenya ambayo ni foolishness. Tunaoifahamu Tume ya uchaguzi ya Kenya ni lini imekuwa impatial? Tume yao haiko huru hata siku moja na ndo maana kamishna Chris Msando aliuwawa, Makamishna wakajiuzuru. Mwanzoni upinzani uliandamana kutaka wajiuzuru ikashindikana hadi watu kuuwawa!Hawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.
Nchi ina miaka zaidi ya 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, mda huu kwa siyo CCM Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko kuliko America Oman German UK China India Canada na mataifa yote tajiri Duniani na pengine ingekuwa na kura ya veto, badala CCM walete maendeleo wanachukua pesa zote wanazitumia kudidimiza demokrasia kudhoofisha chadema kuua upinzani wakitaka kurejesha mfumo wa chama kimoja, pesa inayotumika kwenye mambo yasiyo na tija kwa Taifa ni nyingi kuliko maendeleo.CCM ni adui mkubwa wa maendeleo ya watu Tanzania
Wewe una matatizo ya ufahamu na huna muda wa kujifunza. Hiyo ndo conclusion yangu kutokana na postings zako.Mungu ibariki Kenya
Hakuna mwenye sifa ya kwenda The Haugue kwa hao uliowataja.Njia ya haraka ni kumfikisha IGP na mkurugenziccm wa Tumeccm kwenye mahakama ya ICC The Hague haraka kwa kutengeneza viashiria vya uvunjifu wa Amani hapo Duniani kote watapiga kelele Tumeccm haramu itavunjwa na kuundwa Tume huru isiyo ya kishetani kama sasa
Uchaguzi wa Kenya ulifanyika 2018. Mwaka 2017 kamishna kwenye tume hiyo, Chris Msando akauwawa, makamishna wakajiuzuru tena mmoja alitoroka na kutokomea akiwa Dubai kwenye uchapishaji wa ballot papers. Matokea yalipotoka, kasoro kibao hadi mahakama kuingilia kati. Baadhi ya watu hapa wakasifia mahakama na kusahau kwamba Uhuru alimtukana jaji mkuu kwa uamuzi wake. Tena ni jaji mkuu tu siyo mwenye msimamo huo, wao wakaanza kuhesabu makabila ya jopo la majaji walioamua hivyo. Kweli unaweza ukasifia kitu hapo. They are just hopeless than you'r. Kwa nini usifie tu bila 'thinking?' Elimu zetu hazitusaidii kubadili akili.Ni kweli ukabila ni tatizo Kenya . Lakini pia ukabila ni tatizo hapa Tanzania . Labda kidogo mijini watu hawajali ukabila. Lakini nje ya miji mikubwa ukabila ni tatizo .
Tukirudi kwenye hoja yao, ni ya msingi . Ukiwapinga ni mpungufu wa akili. Katiba yetu ina mapungufu sana na uelekeo wake ni wa ki communist. Wa kumsifu na kumuabudu kiongozi hata pale anapotenda majukumu yake ya kikatiba. Na kama si kiongozi basi ukitukuze chama tawala hata kama sera zao haziwezi kuisaidia nchi . Mfano ni Korea kaskazini.
Huwezi kuwa na tume ya aina hii karne hii labda Tanzania tu.
Kitu ambacho huyu Mkenya hajui kuwa tz hakuna watu kuna ming'ombe tu!Hawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.
Tundu Lissu na mzungu Amsterdam atakuwemo kwenye orodha hiyo...wale wauaji wa Njombe na Tunduma nao watakuwemo pamoja na yule mkata mapanga wa Pemba...halafu wale wa mitandaoni wanaohamasisha vurugu nao watakuwemo kwani comments zao zinasomwa na ID kuhifadhiwa...Njia ya haraka ni kumfikisha IGP na mkurugenziccm wa Tumeccm kwenye mahakama ya ICC The Hague haraka kwa kutengeneza viashiria vya uvunjifu wa Amani hapo Duniani kote watapiga kelele Tumeccm haramu itavunjwa na kuundwa Tume huru isiyo ya kishetani kama sasa