Kama katiba haisemi lolote kuhusu jambo fulani maana yake kinabaki kuwa hivyo. Kuongeza au kupunguza yote yataharibu
Hapotoshi bali anatumia akili yake vyema kuibua maswali ya matendo ya ajabu ya watawala Kwa kisingizio cha "katiba haisemi chochote"
Ndiyo.
Ulikuwa na bundle kweli ukaifungua hiyo video na kuisikiliza mwanzo hadi mwisho? Yes, Rais ana power ya ku - consitute na ku - abolish office yoyote. Lakini that power is limited na kamwe hai - extend hadi kwenye nafasi za kikatiba.
Mfano Rais huyo hawezi leo hii akaamka na kuunda office ya Malkia wa nchi na kimteua mama yake awe Malkia!
Hayati Baba wa taifa hili Mwl J.K. Nyerere pamoja na ubabe wake hakuwahi ku abuse power yake Kwa kiwango hiki wanachifanya hawa sasa!
Sidhani kama
Uzima Tele atakuelewa kama ambavyo hata sisi wengine hatujakuelewa