Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Apr 14, 2024 #101 Mpalakugenda said: Angalia mambo ya msingi hayo mengine yapuuze ndio akili za uongozi. Sasa unakuta wanacha mambo ya msingi wanachukua ya hovyo yaliyosemwa😀😀😀 Click to expand... msingi unaanzia kwenye staha.... ukiwa huna lugha ya staha, hatuwez kuskiza hoja yako, kwanza tunacheki kama uko timamu
Mpalakugenda said: Angalia mambo ya msingi hayo mengine yapuuze ndio akili za uongozi. Sasa unakuta wanacha mambo ya msingi wanachukua ya hovyo yaliyosemwa😀😀😀 Click to expand... msingi unaanzia kwenye staha.... ukiwa huna lugha ya staha, hatuwez kuskiza hoja yako, kwanza tunacheki kama uko timamu