Video: Wakili Msomi Mwabukusi ana hoja. Haya yalianzia enzi za Kikwete

Video: Wakili Msomi Mwabukusi ana hoja. Haya yalianzia enzi za Kikwete

Mwabukusi alinunuliwa na wapingaji wa mkataba wa Bandari wale akina Karamagi kwa Tsh 400 Millioni.

Bahati mbaya ameshindwa kuzuia mkataba na wapambe wake akina Dr Slaa na Mdude_Nyagali . Sasa anatafuta kuwa relevant tena. Huyo ni mlevi mbwa tu mpuuzeni
Ngedere wewe hata tuwe na katiba nzuri ila kunatakiwa Ku reform bichwa vyenu au kupiga shabaa ili Kuokoa vizaza vya Kesho... in short you're an imbecile.
 
ukizungumza mambo ya msingi kwa lugha isiyo na staha, matokeo yake ni kupuuzwa tu. mstaarabu hawezi kubabaika kuamua kufuata au kutokufuata maoni au mtazamo wa aina hii, anakupuuza tu halafu inaisha hivyo hivyo :whatBlink:
Lugha ya staha kwenye upuuzi brother!!Do you think ukipuuza ukweli hata kama anayeusema ni chizi inaeffects kwake?Ati 'inaisha hivyo'..huwa haiishi hivyo,huwa inaishia kwenye uprising na machafuko.Soon or later nature will take balance!Acha kushupaza shingo kima
 
Ila kusema kweli Nchi sasa inajiendela kienyeji mno mno!
Serikali haitajwi tena naa badala yake kila kitu ni mama! mama!
chawa a.k.a. Viroboto wameharibu sana hii nchi!
 
🤣labda uchafue kichwa yako kwa ile mnavuta na vile visungura mnakunywa 🐒
 
Wananchi gani mnawatumikia nyie majizi? Hayo mnayofanya hata wakiingia watu kwa kupindua serekali watafanya, na watafanya kwa ubora kuliko nyie majizi.
🤣 yaani kwa akili yako unadhani hata ukiita majina aina gani kuna atakae babaika as long as inajulikana IQ yako niaje. Hakuna atakae poteza focus katika kuwatumikia na kuwaletea wanainchi maendeleo kwa kuskiza mihemko yako inayochochewa na unachovuta na kunywa my friend 🐒

hiyo ni bure kabisaa yaani
 
Lugha ya staha kwenye upuuzi brother!!Do you think ukipuuza ukweli hata kama anayeusema ni chizi inaeffects kwake?Ati 'inaisha hivyo'..huwa haiishi hivyo,huwa inaishia kwenye uprising na machafuko.Soon or later nature will take balance!Acha kushupaza shingo kima
Labda uchafue kichwa yako kwa kuchochewa na unachovuta na visungura unavyokunywa 🤣
 
Ngedere wewe hata tuwe na katiba nzuri ila kunatakiwa Ku reform bichwa vyenu au kupiga shabaa ili Kuokoa vizaza vya Kesho... in short you're an imbecile.
Hilo povu lote la nini? Mwambie tu ndugu yako Mwabukusi kuwa tunajuwa aliyempa hela
 
Ni lini au awamu ya ngapi hii nchi iliwahi kuwa ya many men show?
 
"Ili tuendelee na tutoke hapa tulipokwama inabidi tufundishane adabu" - Pole Pole
 
ukizungumza mambo ya msingi kwa lugha isiyo na staha, matokeo yake ni kupuuzwa tu. mstaarabu hawezi kubabaika kuamua kufuata au kutokufuata maoni au mtazamo wa aina hii, anakupuuza tu halafu inaisha hivyo hivyo :whatBlink:
Angalia mambo ya msingi hayo mengine yapuuze ndio akili za uongozi.

Sasa unakuta wanacha mambo ya msingi wanachukua ya hovyo yaliyosemwa😀😀😀
 
Back
Top Bottom