Video: Wakili Msomi Mwabukusi ana hoja. Haya yalianzia enzi za Kikwete

Video: Wakili Msomi Mwabukusi ana hoja. Haya yalianzia enzi za Kikwete

Utatekwa ooh!!!watu msiojulikana mpoooo????mmemsikia huyu jamaa??
Bashite ongoza gang ila msimfanye kama lissu au Dokta Ulimboka mfanyeni kama Ben saa kumi!!!!
Nimeiquote hii kama ushahidi ndugu.
Unawaagiza wamuue kwa sababu gani?
 
sasa hapo nikufundishe staha na ustaarabu au niignore tu vile vile... :SillyChamp:

uaelewa unaweza kua na maoni, mtazamo, hoja au ushauri wa maana na muhimu sana ila language unayotumia kupresent unachokusudia kikapoteza maana na umuhimu kabisa...

na kikawa ni useless

uungwana wa lugha na staha katika kuelezea umuhimu wa jambo fulani, kwanza unavutia hata kuskiza, lakini pia kuzingatiwa na kuungwa mkono na kutiliwa maanani na wastaarabu kunakua kwa kiwango cha kuridhisha.:MODS:
Kwa taarifa yako hizo lugha Kali na mnazoita sio za staha ndio zinaeleweka vizuri na Hawa viongozi majizi, kuliko lugha za staha. Viongozi wezi hawajawahi kuheshimu mawazo ama maoni yanayoletwa kwa lugha za staha. Mara nyingi machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio huleta akili kwa viongozi wezi na sio lugha za staha. Inaonekana ww unadhani nchi ni Mali ya viongozi, hivyo wanapaswa kaumbiwa kwa kubembelezwa ama kujinyenyekeza kwao.
 
Mwabukusi alinunuliwa na wapingaji wa mkataba wa Bandari wale akina Karamagi kwa Tsh 400 Millioni.

Bahati mbaya ameshindwa kuzuia mkataba na wapambe wake akina Dr Slaa na Mdude_Nyagali . Sasa anatafuta kuwa relevant tena. Huyo ni mlevi mbwa tu mpuuzeni
Huyu mwalimu katokea wapi huku jf??
 
mama ndio mwanzisha mwendo

wakili msomi usiwachanganye watanzania
 
Kama Katiba haiheshimiwi toka wakati wa Kikwete, Magufuli na sasa hivi...Nani aliewaambia wapinzani Katiba mpya ndo suluhu na itaheshimiwa??
Kwani hao wanaopuuza katiba hii wanataka hata hiyo mpya Hadi useme wataiheshimu? Kimsingi katiba mpya itapatikana kwa machafuko ama mapinduzi ya kijeshi, hiyo kwa vyovyote itaweka misingi ya kuheshimiwa.

Kamwe usitegemee hawa wahuni wa Sasa wanaoshurutisha kuandika katiba watakavyo wao, wataoiheshimu hata hiyo mpya. Kwavyovyote wakiiandika wao, lazima itakuwa ya kitapeli kama hii tume huru ya uchaguzi ya maigizo waliyoiweka Sasa.
 
mama ndio mwanzisha mwendo

wakili msomi usiwachanganye watanzania
Dhalimu magu ndio alisimika hii tabia ya kuabudiwa. Huyu mama naye anapita mulemule kwenye siasa za kick na kulazimisha kuonekana anakubalika.
 
Dhalimu magu ndio alisimika hii tabia ya kuabudiwa. Huyu mama naye anapita mulemule kwenye siasa za kick na kulazimisha kuonekana anakubalika.
chama cha mapinduzi kimekua kinara wa kutoa viongozi makini nchi hii ndugu

magufuli alifanya mengi makubwa na matunda yake yanaonekana na huyu mama anaendeleza mazuri akiongozwa na ilani ya chama pendwa mkombozi wa mataifa mengi afrika
 
Back
Top Bottom