Video: Wamasai wazichapa tena na Walinzi (Wajeruhi)

Ungeharibu kujikita kwenye hoja yangu ungetoka na kitu, mimi napingana na sheria nzima ya beach ni public, unajua gharama kumconvice mgeni mpaka afanye booking na hoteli yako, alafu akishafika wanajitokeza wapuuzi Wachache wanaojiita Beach boy na kuanza kuwaghasi wageni, mgeni anakuplain kwa uongozi wa hotel, hotel itawaeleza walinzi wake kuhahakikisha wageni hawasumbuliwi. Wajibu wa mlinzi nikumweleza masai asiwaghasi wageni, masai haelewi, mlinzi afanye nini? Lakini wakifika TP masai huondoka. Wageni wananunua fukwe na si kitanda wala chakula
 
Huelewa wako umeishia hapo. Yawezekana hata kariakoo unaiona mtandaoni tu
 
ok!!!!,kwani hamna wachuuzi wa kizanzibar???? au ni wamasai tu?? mbona video haionyeshi wamasai wakiwa na shanga??
 
Masai wastaarabu wanapatikana wapi? Me mkulima nawajua, ni watu washenzi sana.

Hawa masai hata waliopo huku bara inabidi warudishwe kwao Arusha tu wakaishi na wanyama huko, waache kutusumbua.
 
Wana Vitu vingi sana wanavyitusaidia Sema Kuvisema hadharani ni kuhatarisha usalama wa Nchi yetu"

Alisikika mlevi mmoja akisema baada ya kushiba Kitimoto na Wine yake
Huo ni uongo.
ZANZIBAR NI MNUFAIKA MKUBWA WA MUUNGANO KULIKO TANGANYIKA.
WAPO WANAOFANYA KAZI SERIKALINI NA WAMELITHIBITISHA HILO NA NAWAJUA.
KAMA UNATAKA NAKUTAJIA.
 
Mi nikajua wanapigana maeneo ya mjini, hapo ni sawa kupigwa kwa sababu sizani kama ni suala la ubaguzi, hapo viongozi wengi wa hotel hawapendi mabichi boi sababu wanasumbua wageni, walinzi wanapewa order ya kuzuia zuia hao Masai pamoja na bichi boi wasisumbue wageni, lakini nao wanatafuta riziki lazima wawasumbue wageni ili wapate ela.

Hapo itakuwa Kuna shida ya kupishana lugha tu, ila Ili suala alihusiani na uzanzibar na ubara.
Sababu hata mabichi boi wa kizanzibar wapo hapo, nao wanazuiliwa pia, na ngumi Huwa zinatakankuchapwa nawengine wanapambana, mleta Uzi ni mzindiki anawakandia wamasai
 
Wamechoka kunyanyaswa na kunyanyapaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana issue hapa si kunyanyapaliwa tatizo la wamsai znz ni suala la muda tu, hawa Jamaa wamekosa ustaraabu kabisa huku znz, wanaghasi sana wageni wakiamini kupata wanawake wa kizungu, hawajali kabisa privacy za wageni. Kumfuata mgeni mpaka kwenye sunbed kwao si issue tena. Siyo wageni wote wanafurahia hizo tabia, kinachofuata mgeni akiondoka wakati wa kujaza comment card halicomend hotel kwa sababu tu ya kughasiwa na masai. Biashara kwa sasa imebadilia iko kimtandao zaidi, mgeni akishaenda TripAdvisor na kucoment usumbufu wa beach boys. Tayari hotel inakuwa imedrop. Then what next??
 
Na hii ndo ishu inayoleta ugomvi, ila mjinga mmoja analeta Uzi kwa kusema shida ni uzanzibar na ubara,
 
wamasai wamekuwa wanagasi sana wageni, siyo kila mgeni anataka kununua shanga, lakini masai wakielezwa hawaelewi
Ina maana wageni wanaòkuja Zanzibar ni tofauti na wanaoenda Ngorongoro kwa wamasai?

Halafu hii kauli yako inatofautiana ns ya msemaji wa serikali ya huko, yeye alisema kubeba silaha (rungu na sime) ni kinyume na utamaduni wa Zanzibar.
Haya ya kuwaghasi watalii ni mengine.
Hizi chuki mnazopanda mtavuna muda sio mrefu ujao...na mlivyojazana huku bara malipizi yatakuwa rahisi sana.
 
Una point nzuri. Bahati mbaya chuki ya muungano imeshaota mizizi. Imefunika uhuru wa fikra na mitazamo isiyo na chembe ya prejudice.

Sheria inapaswa kuwa kali kuweka katazo la watanzania wa jamii zote kuwasumbua watalii wanapokua ndani ya fukwe binafsi. Kwa zile fukwe public ni jukumu la mtalii mwenyewe na wenyeji wake kuangalia usalama wao.

Kinachotokea sasa si tu watanzania wa jamii ya kimasai bali na wazawa wa hapo kupenya katika hizi fukwe zilizohodhiwa na kuwasumbua na kuwahadaa watalii.
 
Umejielekeza vibaya tukio dogo kabisa hilo.
 
Wamasai ukiwaanza ni wabaya sana. Kuna Muingereza mmoja alindika kitabu kinachowahusu hao jamaa "The silent barbarians of East Africa" anawaelezea vizuri.

Ni wapole ila wanaweza kukula nyama ukizingua 😅
 
Huyu aliye record hii video alikuwa na njaa au maana muda wote Ana zungusha tuu simu hatuoni video vizuri. Next time record vizuri ili tuone mtu akichapika kisawasawa maana tumechoka uonevu kwenye hii nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…