Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Zikiletwa mada zenye mlengo wa kidini huwa Unamwandama sn Kijana wa watuUmeniwahi asee nilikuwa mbioni kumuita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zikiletwa mada zenye mlengo wa kidini huwa Unamwandama sn Kijana wa watuUmeniwahi asee nilikuwa mbioni kumuita
Nasikia sio WAARABU mkuu ni WaajemiWaarabu wa huko akili zao wanazijua wenyewe. Wanaweza wakaamua kupitisha jambia kwa hao watoto ama aliyetoa maelekezo ya hiyo protest
Baas hao hawana makali wanafata mifumo ya dunia. Hawana madhara kabisaNasikia sio WAARABU mkuu ni Waajemi
Kajaribu kuwahutubia ila wameshachoka na dhuluma za kidini...
Wakuu wa nchi mayatollah yanalaumu Marekani na Israel.....
A girls' school in Iran brought a member of the IRGC-run Basij paramilitary to speak to students. The girls welcomed the speaker by taking off their headscarves & chanting "get lost, Basiji". Teenage girls have been at the forefront of protests for days.
Na kwanini umlazimishe kuvaa upuuzi?Ikifika hatua mtu haogopi tena kuuawa, ni hatua ambayo ni ya mwisho kabisa ya mtu aliyekata tamaa.
Bora afe lakini asivae hijab
Kajaribu kuwahutubia ila wameshachoka na dhuluma za kidini...
Wakuu wa nchi mayatollah yanalaumu Marekani na Israel.....
A girls' school in Iran brought a member of the IRGC-run Basij paramilitary to speak to students. The girls welcomed the speaker by taking off their headscarves & chanting "get lost, Basiji". Teenage girls have been at the forefront of protests for days.
Nimetoa comment mahususi kuendana na kile kilichopo mezani (video).Unakisingizia kizazi.Tatizo ni hao wanaotaka kuwafanya raia ni pompolipozz!
🤣👍umetoa mfano mzuri sana.
Hapa kwetu, uhuru upo kwenye maandishi ya katiba pekee na kinachoheshimishwa na kutukuzwa kuliko katiba ni taasisi ile.
Tunapaswa kuwa na uwiano mzuri wa maongozi kwa wananchi, uhuru ni maendeleo na hilo linasahauliwa sana na watawala wenye fikra ganzi
Ndo wanataka kuendelea kuwaficha ficha ili si wa mtume paulo tusiyaone...acha tuwa susuIla matoto ya kike ya Iran mazuri balaa. No wonder baadhi the members of the rulling class wanna wivu balaa.
Ndio hao waislam wa Iran walioijua Dini kabla yako wamechoka na Ujinga wa kulazimishana mambo ya Dini.Kila kitu kitafanywa ila UISLAMU UTABAKI PALEPALE ,
hakunakiumbe atakayeubadili kamwe.
Kwani ugomvi?Nimetoa comment mahususi kuendana na kile kilichopo mezani (video).
Ukitaka nitoe mchango kuhusu "hao wanaotaka kuwafanya raia" ... sijui kitu gani, ninaweza pia.
Hawapingi uislam, wanapinga kuwawa sababu kuna nywele za kichwa zimeonekana.Kila kitu kitafanywa ila UISLAMU UTABAKI PALEPALE ,
hakunakiumbe atakayeubadili kamwe.
Amani tele!Kwani ugomvi?