Video: Wanajeshi wa Ukraine zaidi ya 900 waliojificha Azovstal, Mariupol wajisalimisha kwa majeshi ya Russia

Video: Wanajeshi wa Ukraine zaidi ya 900 waliojificha Azovstal, Mariupol wajisalimisha kwa majeshi ya Russia

dondookimataifa+_CdqsjmBt8am_+1652890758778.jpeg

Screenshot_20220518-191822_Instagram.jpg

Screenshot_20220518-194131_Instagram.jpg

..............................................................................
dondookimataifa+_Cdsld9gN8JE_+1652890622966.jpeg

20220518_191615.jpg

.................................................................................
dondookimataifa+_CdtFxKFtt-R_+1652890218956.jpeg
Screenshot_20220518-190904_Instagram.jpg
Screenshot_20220518-190928_Instagram.jpg
 
Hanyongwi mtu kwa sasa, watujengee miji yetu ya Ukraine kwanza, tutawajengesha madaraja, mashule, viwanda, mahandaki , majumba, barabar, sehem za starehe, magereza, mahospitali nk

Wale wageni kutoka nje ya Ukraine ( Nato) inawezekana wasionekane tena kifungo cha maisha
 
[emoji91][emoji91][emoji91] Source reports that a second major wave of the Azovstal surrender process is expected this night or early morning[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Russia imesema wanajeshi wa Ukraine mia tisa na hamsini na tisa (959) waliokuwa wamejificha kwenye kiwanda cha chuma huko Azovstal, Mariupol wamesalimu amri hadi kufikia jana (juma nne). Kati ya hao 959, wnajeshi 80 walikuwa wamejeruhiwa na kati yao 51 walipelekwa hospitali iliyo chini ya uangalizi wa Russia kupatiwa matibabu.

Wakati Zelensky na vyombo vya habari vya magharibi vikisema kuwa Ukraine imefanya misheni ya kuwaokoa wanajeshi hao waliokuwa wamejificha kama panya kwenye mahandaki ndani ya kiwanda cha cha chuma, Azovstal, wanajeshi hao wamejikuta wakiingia mikononi mwa majeshi ya Russia. Kwa upande wake Russia yajiandaa kuwafungulia mashitaka ya kigaidi wapiganaji wa Azov, ambapo wataishia kula shaba badala ya kuchukuliwa kama wafungwa wa kivita.

Ifuatayo ni video ikionesha wanajeshi hao wa Ukraine, wakisalimu amri na kusachiwa na majeshi ya Russia.

View attachment 2229312
========

View attachment 2229298View attachment 2229299
Umeniwahi kamanda
 
@MK254 huna maoni hapa?
Mateka ni mtaji muhimu katika vita,Kuna nchi flani ilifungasha vilago mchana kweupe na haikutamani tena kubakia baada ya mateka wake kadhaa kufungwa kamba na kuburuzwa barabarani hadi kufa na video yake kurushwa dunia.
Nchi gani mkuu[emoji848]
 
Back
Top Bottom