BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Iv kwanini USA ni kama anaikacha Ukraine kinamna..
Si ajabu kati ya majeshi ya UKRAINE waliokufa na NATO pia wamo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iv kwanini USA ni kama anaikacha Ukraine kinamna..
That's the real situationSi ajabu kati ya majeshi ya UKRAINE waliokufa na NATO pia wamo.
Daah ni balaa hakika maandiko yanatimia ilisemwa taifa kwa taifa yatapiganaRussia imesema wanajeshi wa Ukraine mia tisa na hamsini na tisa (959) waliokuwa wamejificha kwenye kiwanda cha chuma huko Azovstal, Mariupol wamesalimu amri hadi kufikia jana (juma nne)...
... anayeteseka ni wewe au mimi? Nimesema "sioni" la ajabu; unauliza "nani kaona la ajabu"; nimekwambia umeona la ajabu? Elewa kwanza kabla ya kurukia kujibu!Kwan nani kaona la ajabu
Jamaa si kaleta taarifa tu
Mbna kama unateseka[emoji23][emoji16][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
NATO Watamweza kweli ,View attachment 2229688
View attachment 2229686
View attachment 2229704
..............................................................................
View attachment 2229685
View attachment 2229684
.................................................................................View attachment 2229682View attachment 2229680View attachment 2229681
Ndio wale walibeba mabango kusema wamefika mpaka wa Urusi.Kumbe ilikuwa ni mtego huku nyuma jeshi la Urusi likiwafungia njia.There are about 16,000 Ukrainian troops who are surrounded by Russians and the Luhansk militias in the Severodonetsk area.
It looks like Zelensky will have to organise another “evacuation”.
Nato hakuna kitu wanamkimbia mrusiIv kwanini USA ni kama anaikacha Ukraine kinamna..
Ndo habari zenu zinazowafariji hizo 😄😄😄
Ileee nchi ambayo kiongozi wake anaonekana kwenye video anayemsalimia kwa kumpa mkono haonekani![emoji1]Nchi gani mkuu[emoji848]