kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Tutayapiga mabomu ya kuyafumua endeleeni tuHawezi kutuvamia, sema haya majitu ni maoga tu. Ila hata akivaamia huku jamaa wamejiandaa. Tuna mihandaki watu wanaweza kuishi na maisha kuendelea hata miaka miwili bila kutoka huko chini.
Huu ni mfano mmoja tu.
Waache wajidnganye. Jamaa anakata supply ya gas na umeme na mafuta tu. Watatoka huko sio mchezo aiseeeeHawezi kutuvamia, sema haya majitu ni maoga tu. Ila hata akivaamia huku jamaa wamejiandaa. Tuna mihandaki watu wanaweza kuishi na maisha kuendelea hata miaka miwili bila kutoka huko chini.
Huu ni mfano mmoja tu.
Umeniwahi kamandaRussia imesema wanajeshi wa Ukraine mia tisa na hamsini na tisa (959) waliokuwa wamejificha kwenye kiwanda cha chuma huko Azovstal, Mariupol wamesalimu amri hadi kufikia jana (juma nne). Kati ya hao 959, wnajeshi 80 walikuwa wamejeruhiwa na kati yao 51 walipelekwa hospitali iliyo chini ya uangalizi wa Russia kupatiwa matibabu.
Wakati Zelensky na vyombo vya habari vya magharibi vikisema kuwa Ukraine imefanya misheni ya kuwaokoa wanajeshi hao waliokuwa wamejificha kama panya kwenye mahandaki ndani ya kiwanda cha cha chuma, Azovstal, wanajeshi hao wamejikuta wakiingia mikononi mwa majeshi ya Russia. Kwa upande wake Russia yajiandaa kuwafungulia mashitaka ya kigaidi wapiganaji wa Azov, ambapo wataishia kula shaba badala ya kuchukuliwa kama wafungwa wa kivita.
Ifuatayo ni video ikionesha wanajeshi hao wa Ukraine, wakisalimu amri na kusachiwa na majeshi ya Russia.
View attachment 2229312
========
View attachment 2229298View attachment 2229299
Kwan nani kaona la ajabu... mambo ya kawaida sana hayo katika medani za kivita; sioni la ajabu hapo! Anyway, Mungu husimama upande wa haki siku zote.
Nchi gani mkuu[emoji848]@MK254 huna maoni hapa?
Mateka ni mtaji muhimu katika vita,Kuna nchi flani ilifungasha vilago mchana kweupe na haikutamani tena kubakia baada ya mateka wake kadhaa kufungwa kamba na kuburuzwa barabarani hadi kufa na video yake kurushwa dunia.
Hizi ndo habar napenda kuskia[emoji4]
Ubabe ubabeni[emoji4][emoji91][emoji91][emoji91]Russia has informed the Ukrainian government that if it wants energy from the Zaporozhye plant it must pay for it[emoji91][emoji91][emoji91]
Hapa kazi TU.Wanalia huko[emoji23], wanachungulia wakipata maumivu, tuliwaambia hata wasaidiwe na Nato sisi tunatembeza kichapo kitakatifu
Iv kwanini USA ni kama anaikacha Ukraine kinamna..Wanaowadanganya ndio Kwanza wanajiendea Somalia akili za kuambiwa changanya na nini