Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

Mmmmh, siyo kwamba mmewatengeneza hao watu?.

Ila niliwahi sema Magufuri anachukiwa mtandaoni tu but majority kubwa huko mtaani wapo wazi, hilo ni eneo dogo tu la nyamuswa pale Ikizu, sasa amsha popo maeneo mengine alafu upate feedback.

Ahahahaaaa, mwamba JPM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…