Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

Hii nchi si ya Magufuli nyie mapoyoyo. Kuna baba wa Taifa aliongoza miaka 23 sembuse huyo marehemu wenu aliyeongoza miaka 5. Ndio aliwafundisha kuvamia maeneo ya watu? Nyie ni washamba km yule marehemu wenu. Ondokeni kwenye maeneo ya watu.
Pumbavu choko wewe umekambishwa asali hadi umekuwa kiroba

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mambo kawaida tu, mbona wapo wanaomlilia Nyerere hadi leo?!!!!
Ni namna fulani tu ya waliopatwa na jambo kuexpress hisia zao....

Simchukii jpm wala samia kwani wote, kwa namna moja au nyingine, nimefaidika nao kipindi Chao ila kwa hili haters wa samia mkajipange tena.......bado saaaaaaana. Hivi kipindi billion kadhaa za wakulima wa korosho wa mtwara zimechukuliwa kwa nguvu na mikwara juu, haters hamkuviona vile vilio vya wale wakulima waliojichokea?!!!!
Vp vilio vya wale pale kimara waliobomolewa nyumba zao hamkuviona?!!!!

Vp vilio vya walioporwa Mali?!!!
Waliodharirishwa na kina musiba?!!!
 
Hayo mambo kawaida tu, mbona wapo wanaomlilia Nyerere hadi leo?!!!!
Ni namna fulani tu ya waliopatwa na jambo kuexpress hisia zao....

Simchukii jpm wala samia kwani wote, kwa namna moja au nyingine, nimefaidika nao kipindi Chao ila kwa hili haters wa samia mkajipange tena.......bado saaaaaaana. Hivi kipindi billion kadhaa za wakulima wa korosho wa mtwara zimechukuliwa kwa nguvu na mikwara juu, haters hamkuviona vile vilio vya wale wakulima waliojichokea?!!!!
Vp vision vya wale pale kimara waliobomolewa nyumba zao hamkuviona?!!!!
JPM was a greatest leader.
 
Hayo mambo kawaida tu, mbona wapo wanaomlilia Nyerere hadi leo?!!!!
Ni namna fulani tu ya waliopatwa na jambo kuexpress hisia zao....

Simchukii jpm wala samia kwani wote, kwa namna moja au nyingine, nimefaidika nao kipindi Chao ila kwa hili haters wa samia mkajipange tena.......bado saaaaaaana. Hivi kipindi billion kadhaa za wakulima wa korosho wa mtwara zimechukuliwa kwa nguvu na mikwara juu, haters hamkuviona vile vilio vya wale wakulima waliojichokea?!!!!
Vp vilio vya wale pale kimara waliobomolewa nyumba zao hamkuviona?!!!!

Vp vilio vya walioporwa Mali?!!!
Waliodharirishwa na kina musiba?!!!
Vilete hapa hivyo vilio ili tuvijadili
 
Hayo mambo kawaida tu, mbona wapo wanaomlilia Nyerere hadi leo?!!!!
Ni namna fulani tu ya waliopatwa na jambo kuexpress hisia zao....

Simchukii jpm wala samia kwani wote, kwa namna moja au nyingine, nimefaidika nao kipindi Chao ila kwa hili haters wa samia mkajipange tena.......bado saaaaaaana. Hivi kipindi billion kadhaa za wakulima wa korosho wa mtwara zimechukuliwa kwa nguvu na mikwara juu, haters hamkuviona vile vilio vya wale wakulima waliojichokea?!!!!
Vp vilio vya wale pale kimara waliobomolewa nyumba zao hamkuviona?!!!!

Vp vilio vya walioporwa Mali?!!!
Waliodharirishwa na kina musiba?!!!
Hauna akili japo unataka uonekane una akili.

Unazungumzia Korosho?? ya Akina Makamba Bilion 60 , na maujinga yanayoendelea chini ya Samia , huyaoni??


Nani aliporwa Mali? JPM alikua mtu wa SHERIA, Samia ni mtu wa Hisia .

Sheria inataka uwe mnyoofu, Hisia zinaweza kukuambia, Mwizi msamehe maana naye anafamilia.

Utachagua unataka wapi!!.
 
Back
Top Bottom