Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

Hauna akili japo unataka uonekane una akili.

Unazungumzia Korosho?? ya Akina Makamba Bilion 60 , na maujinga yanayoendelea chini ya Samia , huyaoni??


Nani aliporwa Mali? JPM alikua mtu wa SHERIA, Samia ni mtu wa Hisia .

Sheria inataka uwe mnyoofu, Hisia zinaweza kukuambia, Mwizi msamehe maana naye anafamilia.

Utachagua unataka wapi!!.
Hapa mi naona we ndo hauna akili zaidi.......tena hauhusiki kabisa na akili, unayestahili kushitakiwa ukitaja hiko kitu kwani hakikuhusu.
 
Kuna wajinga wameandika kitabu, kabla hakijaanza kutumika, majibu yao wameyapata!

Sijui itabidi wakawatulize kwanza kuwaambia Hayati hakufaa? Sielewi Mimi!
Wale ni wajingawa, wanaolipwa na nape !!


Wanalazimika kufanya Ivo Ili matumbk yatune.

Jambo wanalosahau ni kwamba, Siku zaja ambazo watalia na kusaga meno.
 
Hao wana shida gani?
Kuonesha watu wakilia na kulamika bila kutueleza hoja yao nini siyo sawa.
Yawezekana wana sababu ya msingi au ujinga wao tu.
Mambo ya kulamika kwa mamlaka za utawala yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo.
Ni lazima kujua kilio chao kimesababishwa na nini, mamlaka husika zirekebishe
 
Hao wana shida gani?
Kuonesha watu wakilia na kulamika bila kutueleza hoja yao nini siyo sawa.
Yawezekana wana sababu ya msingi au ujinga wao tu.
Mambo ya kulamika kwa mamlaka za utawala yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo.
Ni lazima kujua kilio chao kimesababishwa na nini, mamlaka husika zirekebishe
Licha ya hivyo! Kwa nini iwalazimu kumtaja asiyekuwepo?
 
Back
Top Bottom