BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika vitu vingi lakini sijaelewa unataka kusema nini"Pros & cons" za JPM ni lazima zipimwe katika mizani iliyo sawia ili haki yote kwake ipate kubainika na kyfahamika. Ni lazima wadau wote muhimu watambue kipi kina "out weight" kingine ili "legacy" ya kweli ipate kutendewa haki yote na kukamilika.
Huyu mtu ni marehemu mwenye hadhi ya urais, ni hayati. Lakini hayupo tena katika ulimwengu wa walio kuwa hai kama ambavyo wengine wengi tungali tupo. Kile ambacho yeye alikifanya kupitia matakwa ya katiba, ambayo yeye aliapa katika kiapo chake, kuhusu kuitunza, kuilinda na kuitii, ndiyo hasa yeye alivyokuwa na anavyopaswa kuhukumiwa.
Kiapo ni nadhiri ambayo huwekwa mbele ya Mungu wake kupitia imani yake ya kidini. Kiapo ni nadhiri mbele ya umma wa Watanzania, kiapo ni kujitoa ili kuthibisha uwezo wako, kiapo ni kipimo cha haki kwa wale unaowaongoza kwa mujibu wa katiba, sheria, kanuni na miongozo, kiapo ni kioo cha uadilifu, uadilifu ni kipimo cha kujitoa kwa watu wote, kiapo ni kipimo cha ruhusa ya kulinganishwa na sifa za viongozi wengine, n.k.
SAFARI IENDELEE.Qoomah kama wewe sio wakuchekewa kabisa, mna mchango mdogo sana katika hili taifa.
Mafisadi wanadai mama anaponya nchi wamemuandikia na kitabuMmmmh, siyo kwamba mmewatengeneza hao watu?.
Ila niliwahi sema Magufuri anachukiwa mtandaoni tu but majority kubwa huko mtaani wapo wazi, hilo ni eneo dogo tu la nyamuswa pale Ikizu, sasa amsha popo maeneo mengine alafu upate feedback.
Ahahahaaaa, mwamba JPM.
Huyu aliyepo yupo busy kufuturisha matajiri na kununua magoli ya yanga na simbaDah asee aliepo madarakani ajitafakari iweje wananchi wamkumbuke marehemu inamaana yeye hatoshi kwenye kiti au
Hata wwe ipo siku uwepo wako utakoma,na kuondoka kwako kutadumu milele,usijisahau sana ndugu,kifo hakina hodi!!!... uwepo wake umekoma! Kuondoka kwake kutadumu milele.
Oh, really?He was greatest to all of us countryman. He believed in Tanzanians first.
Wezi haoUkweli Utabakia Ukweli
Wanao mchukia Wengi waovu wa Taifa hili
Unafiki unawatesa sanaKuni ziongezwe huko jehanam mwovu azidi kuteseka View attachment 2591566
Makapi kabisaHAYA TUNAYAITA MATAKA TAKA, KAMA MNAENDA VITANI MKAGUNDUA MPO NA KIMA KAMA HUYO MNABIDI MUUE KWANZA HYO KIMA NDO SAFARI IENDELEE.
Unajua mkikutana hapa Janii forum kumponda na kumchukia JPM mna dhani watu sote wanaakili ya Kibanda,Ngurumo na Meena!Kuni ziongezwe huko jehanam mwovu azidi kuteseka View attachment 2591566
Wananchi wapumbavu tuwaambie nini sisi? Kama wanaweza kuililia mifupa iliyoko shimoni Chato, unaanzaje kuwasaidia? Ni kupoteza muda. Hatu entertain stupidnessMnaoandika vitabu, haya mliyafikilia pia?
Au pesa za mafisadi zimewafunga macho msione?
Sasa ni miaka miwili kaburini! Mtawaambia nini wananchi kama hawa wakaelewa ngonjera zenu?
MAJIBU YAKITABU AYO ATAWIKI AJAPITA KUDADAKI
Ata ukienda Kwa wakulima wa kolosho nao watalilia kama awaHayo mambo kawaida tu, mbona wapo wanaomlilia Nyerere hadi leo?!!!!
Ni namna fulani tu ya waliopatwa na jambo kuexpress hisia zao....
Simchukii jpm wala samia kwani wote, kwa namna moja au nyingine, nimefaidika nao kipindi Chao ila kwa hili haters wa samia mkajipange tena.......bado saaaaaaana. Hivi kipindi billion kadhaa za wakulima wa korosho wa mtwara zimechukuliwa kwa nguvu na mikwara juu, haters hamkuviona vile vilio vya wale wakulima waliojichokea?!!!!
Vp vilio vya wale pale kimara waliobomolewa nyumba zao hamkuviona?!!!!
Vp vilio vya walioporwa Mali?!!!
Waliodharirishwa na kina musiba?!!!