92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
Sio mchezo hali ni mbaya watawala wajitafakari mara mbili mbiliMungu tu ndo anayejua wananchi wanapitia yepi kwa sasa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mchezo hali ni mbaya watawala wajitafakari mara mbili mbiliMungu tu ndo anayejua wananchi wanapitia yepi kwa sasa,
AswaaaHizi ni Rasha Rasha mvua kubwa itanyesha na itasomba kila kitu ndipo mtakumbuka lile neno mtanikumbuka.😭🤐🤐🤐
"Pros & cons" za JPM ni lazima zipimwe katika mizani iliyo sawia ili haki yote kwake ipate kubainika na kyfahamika. Ni lazima wadau wote muhimu watambue kipi kina "out weight" kingine ili "legacy" ya kweli ipate kutendewa haki yote na kukamilika.
Jpm was a greatest leader.Ungeandika kwa Kiswahili hakuna ambaye angejua kuwa umtupu kwenye hiyo lugha.
Sawa mkuu, unahoja nzuri na nzito sana ingawa haujahitimisha Andiko lako"Pros & cons" za JPM ni lazima zipimwe katika mizani iliyo sawia ili haki yote kwake ipate kubainika na kyfahamika. Ni lazima wadau wote muhimu watambue kipi kina "out weight" kingine ili "legacy" ya kweli ipate kutendewa haki yote na kukamilika.
Huyu mtu ni marehemu mwenye hadhi ya urais, ni hayati. Lakini hayupo tena katika ulimwengu wa walio kuwa hai kama ambavyo wengine wengi tungali tupo. Kile ambacho yeye alikifanya kupitia matakwa ya katiba, ambayo yeye aliapa katika kiapo chake, kuhusu kuitunza, kuilinda na kuitii, ndiyo hasa yeye alivyokuwa na anavyopaswa kuhukumiwa.
Kiapo ni nadhiri ambayo huwekwa mbele ya Mungu wake kupitia imani yake ya kidini. Kiapo ni nadhiri mbele ya umma wa Watanzania, kiapo ni kujitoa ili kuthibisha uwezo wako, kiapo ni kipimo cha haki kwa wale unaowaongoza kwa mujibu wa katiba, sheria, kanuni na miongozo, kiapo ni kioo cha uadilifu, uadilifu ni kipimo cha kujitoa kwa watu wote, kiapo ni kipimo cha ruhusa ya kulinganishwa na sifa za viongozi wengine, n.k.
Inauma sana mkuuhuyo mama alivyosema tuueni, nmskumbuka maumivu
kuna mda unapitia figisu/vizuizi mpaka unaona wakuue tu mana maisha hayana maana
Matokeo ya siasa za kipropaganda zinazodumaza fikra.Licha ya hivyo! Kwa nini iwalazimu kumtaja asiyekuwepo?
Hauna akili japo unataka uonekane una akili.
Unazungumzia Korosho?? ya Akina Makamba Bilion 60 , na maujinga yanayoendelea chini ya Samia , huyaoni??
Nani aliporwa Mali? JPM alikua mtu wa SHERIA, Samia ni mtu wa Hisia .
Sheria inataka uwe mnyoofu, Hisia zinaweza kukuambia, Mwizi msamehe maana naye anafamilia.
Utachagua unataka wapi!!.
Nchi imeshamshinda bi tozo. Watu wanalia haki hakuna. Alifikiri magufuli ni mkali bure akawarudisha wezi na fisadi. Ona sasa wananchi wanalia.
Kawaambie wananchi wasimlilie marehehemuAcha kuwa zumbukuku ww
Nenda kawaambie wasimlilie bhanaKakufa zake tu.mm nilijua kafufuka bhana
Yes countryman JPM the GreatPropaganda za kumpaka matope zimegonga mwamba....mtaani hali ndiyo hiyo na zaidi!!
Alale pema The Great!
Kawaambie wananchi wasimlilie marehehemu
Kaka wewe ni mweupe endapo umeona statement hiyo inamakosa.Ungeandika kwa Kiswahili hakuna ambaye angejua kuwa umtupu kwenye hiyo lugha.
Utakufa na kihoro 😀He was not great.
He was among the cowards who ever ruled Tanzania
Qoomah kama wewe sio wakuchekewa kabisa, mna mchango mdogo sana katika hili taifa.Hii nchi si ya Magufuli nyie mapoyoyo. Kuna baba wa Taifa aliongoza miaka 23 sembuse huyo marehemu wenu aliyeongoza miaka 5. Ndio aliwafundisha kuvamia maeneo ya watu? Nyie ni washamba km yule marehemu wenu. Ondokeni kwenye maeneo ya watu.