Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

"Pros & cons" za JPM ni lazima zipimwe katika mizani iliyo sawia ili haki yote kwake ipate kubainika na kyfahamika. Ni lazima wadau wote muhimu watambue kipi kina "out weight" kingine ili "legacy" ya kweli ipate kutendewa haki yote na kukamilika.

Huyu mtu ni marehemu mwenye hadhi ya urais, ni hayati. Lakini hayupo tena katika ulimwengu wa walio kuwa hai kama ambavyo wengine wengi tungali tupo. Kile ambacho yeye alikifanya kupitia matakwa ya katiba, ambayo yeye aliapa katika kiapo chake, kuhusu kuitunza, kuilinda na kuitii, ndiyo hasa yeye alivyokuwa na anavyopaswa kuhukumiwa.

Kiapo ni nadhiri ambayo huwekwa mbele ya Mungu wake kupitia imani yake ya kidini. Kiapo ni nadhiri mbele ya umma wa Watanzania, kiapo ni kujitoa ili kuthibisha uwezo wako, kiapo ni kipimo cha haki kwa wale unaowaongoza kwa mujibu wa katiba, sheria, kanuni na miongozo, kiapo ni kioo cha uadilifu, uadilifu ni kipimo cha kujitoa kwa watu wote, kiapo ni kipimo cha ruhusa ya kulinganishwa na sifa za viongozi wengine, n.k.
 
"Pros & cons" za JPM ni lazima zipimwe katika mizani iliyo sawia ili haki yote kwake ipate kubainika na kyfahamika. Ni lazima wadau wote muhimu watambue kipi kina "out weight" kingine ili "legacy" ya kweli ipate kutendewa haki yote na kukamilika.

Huyu mtu ni marehemu mwenye hadhi ya urais, ni hayati. Lakini hayupo tena katika ulimwengu wa walio kuwa hai kama ambavyo wengine wengi tungali tupo. Kile ambacho yeye alikifanya kupitia matakwa ya katiba, ambayo yeye aliapa katika kiapo chake, kuhusu kuitunza, kuilinda na kuitii, ndiyo hasa yeye alivyokuwa na anavyopaswa kuhukumiwa.

Kiapo ni nadhiri ambayo huwekwa mbele ya Mungu wake kupitia imani yake ya kidini. Kiapo ni nadhiri mbele ya umma wa Watanzania, kiapo ni kujitoa ili kuthibisha uwezo wako, kiapo ni kipimo cha haki kwa wale unaowaongoza kwa mujibu wa katiba, sheria, kanuni na miongozo, kiapo ni kioo cha uadilifu, uadilifu ni kipimo cha kujitoa kwa watu wote, kiapo ni kipimo cha ruhusa ya kulinganishwa na sifa za viongozi wengine, n.k.
Sawa mkuu, unahoja nzuri na nzito sana ingawa haujahitimisha Andiko lako

Ukipata muda uje uhitimishe ili hoja ielee
 
Mat
Licha ya hivyo! Kwa nini iwalazimu kumtaja asiyekuwepo?
Matokeo ya siasa za kipropaganda zinazodumaza fikra.
Ni muhimu wananchi kujua kutumia njia sahihi kwa wakati sahihi kupambana na changamoto zinazowakabili.
Lazima wajengwe hivyo.
 
Acha kuwa zumbukuku ww
Hauna akili japo unataka uonekane una akili.

Unazungumzia Korosho?? ya Akina Makamba Bilion 60 , na maujinga yanayoendelea chini ya Samia , huyaoni??


Nani aliporwa Mali? JPM alikua mtu wa SHERIA, Samia ni mtu wa Hisia .

Sheria inataka uwe mnyoofu, Hisia zinaweza kukuambia, Mwizi msamehe maana naye anafamilia.

Utachagua unataka wapi!!.
 
Hii nchi si ya Magufuli nyie mapoyoyo. Kuna baba wa Taifa aliongoza miaka 23 sembuse huyo marehemu wenu aliyeongoza miaka 5. Ndio aliwafundisha kuvamia maeneo ya watu? Nyie ni washamba km yule marehemu wenu. Ondokeni kwenye maeneo ya watu.
Qoomah kama wewe sio wakuchekewa kabisa, mna mchango mdogo sana katika hili taifa.
 
Back
Top Bottom