Mr RMJ
JF-Expert Member
- Jun 30, 2022
- 454
- 904
JPM Was a greatest leader ever.... uwepo wake umekoma! Kuondoka kwake kutadumu milele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM Was a greatest leader ever.... uwepo wake umekoma! Kuondoka kwake kutadumu milele.
Mchuro tu anatumiwa, Magufuli babake? Amfuate mkuda kweli. Analilia eneo la watu ni la babake?
JPM was a greatest leader.Mchuro tu anatumiwa, Magufuli babake? Amfuate mkuda kweli. Analilia eneo la watu ni la babake?
Hii nchi si ya Magufuli nyie mapoyoyo. Kuna baba wa Taifa aliongoza miaka 23 sembuse huyo marehemu wenu aliyeongoza miaka 5. Ndio aliwafundisha kuvamia maeneo ya watu? Nyie ni washamba km yule marehemu wenu. Ondokeni kwenye maeneo ya watu.Mnaoandika vitabu, haya mliyafikilia pia?
Au pesa za mafisadi zimewafunga macho msione?
Sasa ni miaka miwili kaburini! Mtawaambia nini wananchi kama hawa wakaelewa ngonjera zenu?
Kunywa maji mengi fisadi weweHii nchi si ya Magufuli nyie mapoyoyo. Kuna baba wa Taifa aliongoza miaka 23 sembuse huyo marehemu wenu aliyeongoza miaka 5. Ndio aliwafundisha kuvamia maeneo ya watu? Nyie ni washamba km yule marehemu wenu. Ondokeni kwenye maeneo ya watu.
Mlaumu mamako kuwa mpumbavu hivyoKunywa maji mengi fisadi wewe
JPM was a greatest leader.Mchuro tu anatumiwa, Magufuli babake? Amfuate mkuda kweli. Analilia eneo la watu ni la babake?
Huna tusi jipya fisadi Wewe?Mlaumu mamako kuwa mpumbavu hivyo
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.Kunywa maji mengi fisadi wewe
Kwa wewe na baadhi ya wachache, wala sikulaumu mkuuTunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Jaman acheni hizo
Macho tu huna, kusikia nako huwezi! Akili nazo ndo empty, Utaambiwaje ili kuelewa kwamba wananchi wanamlilia upya usiyempenda?Hii nchi si ya Magufuli nyie mapoyoyo. Kuna baba wa Taifa aliongoza miaka 23 sembuse huyo marehemu wenu aliyeongoza miaka 5. Ndio aliwafundisha kuvamia maeneo ya watu? Nyie ni washamba km yule marehemu wenu. Ondokeni kwenye maeneo ya watu.
Ngoja Chawa wa hangaya waje kutoa povu.Hayati JPM atabaki kua Kiongozi wa watu ,siku zote za uhai wa Nchi ya Tanzania !!.
Wataandika vitabu, Watamsema wanavyoweza, ila ukweli nikwamba, JPM atabaki kua Baba Bora Nchi hiii !!.
Akili kisoda, utawezaje kuelewa wenzako Wewe?Kama wanaumia sana wafe ili tuone wameumia
JPM Was a greatest leader.Kama wanaumia sana wafe ili tuone wameumia