Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

Wananchi wapumbavu tuwaambie nini sisi? Kama wanaweza kuililia mifupa iliyoko shimoni Chato, unaanzaje kuwasaidia? Ni kupoteza muda. Hatu entertain stupidness
mkuu, uwe na utu basi angalau hata kidogo tu, shida yako ni Magufuli inafahamika, hao raia nao unachuki nao za nini sasa, hivi unadhani wewe ndo mwenye akili peke yako kuliko makutano wote hao? Sitaki kusema vibaya juu yako, lakini mkuu, nakuhakikishia kwamba; iwapo wewe tu ambaye unaona wananchi wote hao hawana Akili, ufahamu kabisa wewe una ila kichwani
 
Hao ndio mtawafuata kuwaomba kura mzee! Maneno haya hamtaweza kuyasema mbele yao wakati mkiomba kura!
Watafuatwa ndio na wataambiwa ukweli kwamba lazima Sheria ziheshimiwe,Sheri zisipoheshumiwa hakuna ustawi wao na Watoto wao..

Wanaweza kulia hata wafunge Spika ila huo ndio ukweli na hakuna kitakachobadilika...

Na yalivyo majinga unadhani nani atakuja kuwaambia kwamba mnichgue then sitofuata Sheria?

Mbona wanaemlilia alibomolea watu Maelfu ya nyumba Dar bila fidia? Likila hel za wahanga wa tetemeko bila Msaada?

Alimfukuza darasa la Saba Kwa kisingizio Cha vyeti fake yet upigaji uliendelea?

Bila Samia kuwafuta machozi hao wote walishakuwa maskini na stress Juu..
 
Watafuatwa ndio na wataambiwa ukweli kwamba lazima Sheria ziheshimiwe,Sheri zisipoheshumiwa hakuna ustawi wao na Watoto wao..

Wanaweza kulia hata wafunge Spika ila huo ndio ukweli na hakuna kitakachobadilika...

Na yalivyo majinga unadhani nani atakuja kuwaambia kwamba mnichgue then sitofuata Sheria?

Mbona wanaemlilia alibomolea watu Maelfu ya nyumba Dar bila fidia? Likila hel za wahanga wa tetemeko bila Msaada?

Alimfukuza darasa la Saba Kwa kisingizio Cha vyeti fake yet upigaji uliendelea?

Bila Samia kuwafuta machozi hao wote walishakuwa maskini na stress Juu..
Endelea kulamba asali dada
 
JPM Was a greatest leader ever.
Ben watch8, mtundu lissu, azory, kinaina, marope just to mention but a few.. even kikweiti were told to shut their mouth and kuacha kiherehere!!!!!! Many were picked ud dead alongside seashores..
The many was a real satan.
 
Mat
Matokeo ya siasa za kipropaganda zinazodumaza fikra.
Ni muhimu wananchi kujua kutumia njia sahihi kwa wakati sahihi kupambana na changamoto zinazowakabili.
Lazima wajengwe hivyo.
Acha na wananchi vipi hao mazee wa hovyo? Je ndo wanahitajika na taifa
 
Kamfukue uzikwe wewe
Mnaoandika vitabu, haya mliyafikilia pia?

Au pesa za mafisadi zimewafunga macho msione?

Sasa ni miaka miwili kaburini! Mtawaambia nini wananchi kama hawa wakaelewa ngonjera zenu?
 
Hata wwe ipo siku uwepo wako utakoma,na kuondoka kwako kutadumu milele,usijisahau sana ndugu,kifo hakina hodi!!!
.... that's obvious! If that's the case wasitujazie nyuzi za ajabu ajabu humu!
 
Back
Top Bottom